Kura kama kura siyo tatizo tunaweza kukupa lakini mwaga sera zako jinsi utakavyo wasaidia wana Igunga. kwasasa unafanya nini? unataka kuingia kwenye siasa kama biashara au kama kuwasaidia wananchi wa Igunga? Ebu nishawishi basi nikusaidie kupiga debe.Nimeamua kutangaza nia yangu mapema nitagombea kupitia chama changu cha CCM katika jimbo lililo wazi la igunga. naomba mniunge mkono wa JF Kidumu chama milele daima. CCM
Nimeamua kutangaza nia yangu mapema nitagombea kupitia chama changu cha CCM katika jimbo lililo wazi la igunga. naomba mniunge mkono wa JF Kidumu chama milele daima. CCM
Crap!!
Kigumu milele daima!!... Kidumu chama milele daima. CCM
Dr.kafumu anarudi kugombea kupitia ccm