Meshack Mwansasu
Member
- Dec 31, 2016
- 12
- 2
Uninstalled it
hahaa,dah ulikomaje mkuu?ahaaa niliwah kaa jf 24hrs kama id noma sana ....
aseee ni zaidi ya zaid inatesa sana...tamuuu kam id yako mkuu.Jf tamu sana
hahahahaa...hapana mkuu,si kwa style iyo.mi nataka jf nisiiache ila,isinitese au inifanye hadi nkilala nioteTUKANA MTU BOOONGE LA TUSI !!
hapo utapigwa ban,let say ya miaka 10. Na ukishamaliza kutumikia kifungo then ukarudi Utakuwa huna hamu ya jf Kama mwanzo.
hahaha...tatizo majukwaa ni mengi nami most of them nayatumia,afu ye huyo barbosa yupo jukwaa la general forum,tuu.so nitaendlea kuwa addicted mkuu...Kuwa mshabiki Wa chadema halafu soma post ya barbarosa lazima utalala tu
sawa mkuu,nitajitahidi though sometimez huwa inatokea ivo,ila tatizo muda nitakapoigusa ndo bhas tena apoapo,nanogewa na kuperuzi mda mwngne adi asubuhi ase...Mkuu kuwa bize na kazi kunasaidia sana
thanks kasinde,i will try to do that...if i will succeed though,on other hand it seems to be tough,because i thought that many things will pass out of my way...and i will not be tuned whats going on throughout the world,as jf is the only place i can get news and all updatesSwitch off data that is stay and be in sober off internet mode for two months while controlling yourself..... nobody should push on this.
All the best.
hapana mkuu,nipo vizuri maana kama msosi nakula wa kutosha sana ase huwezi amini,though nina kamwili kembamba.Siyo njaa ndiyo inayokusumbua?
hahaha,mkuu jaribu kupitia comments kibao au contents zangu,kwanz hivi juzi tuu huku chitchat nimekesha na ndo usiku nikaota naendlea kucomment na kuchat na members wengne asee...sikulala.Mbona sijawahi ona comment yako sehemu yoyote ile
hahaha...duhMi sijapona bado. Kila napotaka kupona, inatokea michuchu mipya. Na mimi na michuchu ni sawa na Faru John na Majaliwa Serengeti.
iko ivo mkuu,huwa najaribu kufanya ivo ila sema siku haiwezi kupita sijaingia au hata nikiwa busy kuna mda najikuta nakaa mezan na pc kuanza kufungua majukwaa.lada itaezekana huko mbeleniJiweke busy kdgo
Pole sana kuna wakati inabidi ubadilike kulingana na wakati we ukiwa bize na kazi Mara nyingi mwili unakuwa umechoka ukianza tu kuperuzi usingizi unakuja fastasawa mkuu,nitajitahidi though sometimez huwa inatokea ivo,ila tatizo muda nitakapoigusa ndo bhas tena apoapo,nanogewa na kuperuzi mda mwngne adi asubuhi ase...
acha tu kesho yake sikuingia mpaka saa 3 usikuhahaa,dah ulikomaje mkuu?
ah,poa mkuu...ngoja badae nianze kufanya ivo.Pole sana kuna wakati inabidi ubadilike kulingana na wakati we ukiwa bize na kazi Mara nyingi mwili unakuwa umechoka ukianza tu kuperuzi usingizi unakuja fasta
hahaha....mwenyew nshagajaribu ivo piaacha tu kesho yake sikuingia mpaka saa 3 usiku
Pamoja mkuuah,poa mkuu...ngoja badae nianze kufanya ivo.
hahahaha....nina kazi nyingi sana mkuu,kupita maelezo yani hata zingne huwa simalizi,ila huwa inakuja automatically kuwa jf pia ni lazima niingie,na huwa nashindwa kujizuia.Huna kaz Ndo maana Halafu Ww Si mwalim msigwa