Zitto anatetewa na watu hafifu na dhalili.....sasa huyu naye mtetezi wa Zitto , empty set yaani buyu kabisa
Ninachofurahi Chadema na wafuasi wao wamerudi CCM.
Ninachofurahi Chadema na wafuasi wao wamerudi CCM.
ZITTO HANA HATIA KIKATIBA YEYE SI MWANDISHI WA WARAKA ULE, WALIOUANDAA WAMESHA JITAJA WENYEWE SASA NONGWA YA NINI PAMOJA NA YOTE YANAYOENDELEA,ABAKIZIWE UANACHAMA WAKE KAMA MWANACHAMA HAI,CHINI YA UANGALIZI MAALUMU WA KUONA UHUSIANO WAKE NA CDM NA HARAKATi ZAKE NA INTERGRATION ZAKE NDANI YA CHAMA KWA UJUMLA
kwa pamoja tuutokomeze ukiritimba hapa nchini.
nikiwa kama kijana nisietofautia umri na zitto kabwe nimepatwa na simanzi na jeraha la moyo baada ya cc ya chadema kufanya maamuzi ya awali juu ya kijana mwenzangu.
nakumbuka hata kampeni za vijana wengine kama mnyika,mdee,vicent nyerere wenje na wengineo waliomba tuwape kura ili wakasaidiane na mwenzao zitto kabwe.
kwa hiyo zitto ndio chimbuko la vijana chadema mtake msitake.imekuwa ni kawaida hapa nchini vijana kuzimwa nyota zao.
namkumbuka marehemu amina chifupa wakati tukiwa makongo sec.2000-2001 alikuwa ni mwana dada mwenye ndoto nzuri kwa vijana wote na amekufa akiwa katika harakati za kuwakomboa vijana na dimbwi la mihadarati.
naomba niseme kwa kinywa kipana kuwa, mbinu chafu zinazo fanyika juu ya kijana mwenzangu hazikubaliki hata kidogo.
naomba vijana wote tulitazame mara mbilimbili suala hili, tusikubali kuporomoshwa tunapo karibia mafanikio.
kama tutakubaliana na la zitto kesho litakuwa la makamba kesho kutwa la mnyika.
"VIJANA AMKENI"
Huu Ushauri wako mzuri ulitakiwa uumpe yeye Zito alipokuwa anajifanya bila yeye mambo hayaendi. Sio sasa wakati watu wamemuonyesha yeye si lolotekwa pamoja tuutokomeze ukiritimba hapa nchini.
nikiwa kama kijana nisietofautia umri na zitto kabwe nimepatwa na simanzi na jeraha la moyo baada ya cc ya chadema kufanya maamuzi ya awali juu ya kijana mwenzangu.
nakumbuka hata kampeni za vijana wengine kama mnyika,mdee,vicent nyerere wenje na wengineo waliomba tuwape kura ili wakasaidiane na mwenzao zitto kabwe.
kwa hiyo zitto ndio chimbuko la vijana chadema mtake msitake.imekuwa ni kawaida hapa nchini vijana kuzimwa nyota zao.
namkumbuka marehemu amina chifupa wakati tukiwa makongo sec.2000-2001 alikuwa ni mwana dada mwenye ndoto nzuri kwa vijana wote na amekufa akiwa katika harakati za kuwakomboa vijana na dimbwi la mihadarati.
naomba niseme kwa kinywa kipana kuwa, mbinu chafu zinazo fanyika juu ya kijana mwenzangu hazikubaliki hata kidogo.
naomba vijana wote tulitazame mara mbilimbili suala hili, tusikubali kuporomoshwa tunapo karibia mafanikio.
kama tutakubaliana na la zitto kesho litakuwa la makamba kesho kutwa la mnyika.
"VIJANA AMKENI"
Kwa hiyo tunaungana wote na Mwanasheria Mkuu wa serikali kupinga kuwa hakuna mtu mwenye pesa nje huo ni uongo wa Zitto.Unahisia kuwa ukiitwa mpinzani lazima upinge kila kitu? Hapa tuko kuisaidia nchi sio kuwaza umaarufu, punguza kukariri wakati mwingine jishughulishe basi upunguze division five
Zitto anatetewa na watu hafifu na dhalili.....sasa huyu naye mtetezi wa Zitto , empty set yaani buyu kabisa
Kwa hiyo tunaungana wote na Mwanasheria Mkuu wa serikali kupinga kuwa hakuna mtu mwenye pesa nje huo ni uongo wa Zitto.