THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,336
- 4,848
Kuna siku niliandika uzi...nikasema yule Rais wa ile Nchi ni kielelezo kingine kikubwa kua Wanawake wa Afrika kwenye Mwaswala ya Uongozi bado.
Mods mkaula kichwa ule uzi sijui kwa sababu nilimtaja kabisa.
Ila leo simtaji ila nahisi mshaelewa kama mtu ananibishia ataje kuna baadhi ya Nchi hapa Africa zimetawaliwa na wanawake aseme ni ipi ilipiga hatua?
Kuna Nchi flani ilifikia hatua wakauza hadi ndege ya Rais uchumi ulizorota sana Rais by that time alikua She.
Hili sio Tusi kwa wanawake na Mods huu uzi sijauandika kwa lengo la kudhalilisha wanawake ila ni ukweli kua kwa mazingira ya Afrika wanawake bado sana kufikia kiwango cha kua viongozi wakubwa because mazingira ya Afrika hayajawaandaa toka zaman....hawa wameenza kujulikana baada ya Globalization na yale masharti ya 50/50 kutoka kwa wafadhili sa ni lini si juzi tu hapa.
Mods huuu uzi muuache hukuhuku na msiufute waacheni wanaochangia wachangie.
Kenge was here.
Mods mkaula kichwa ule uzi sijui kwa sababu nilimtaja kabisa.
Ila leo simtaji ila nahisi mshaelewa kama mtu ananibishia ataje kuna baadhi ya Nchi hapa Africa zimetawaliwa na wanawake aseme ni ipi ilipiga hatua?
Kuna Nchi flani ilifikia hatua wakauza hadi ndege ya Rais uchumi ulizorota sana Rais by that time alikua She.
Hili sio Tusi kwa wanawake na Mods huu uzi sijauandika kwa lengo la kudhalilisha wanawake ila ni ukweli kua kwa mazingira ya Afrika wanawake bado sana kufikia kiwango cha kua viongozi wakubwa because mazingira ya Afrika hayajawaandaa toka zaman....hawa wameenza kujulikana baada ya Globalization na yale masharti ya 50/50 kutoka kwa wafadhili sa ni lini si juzi tu hapa.
Mods huuu uzi muuache hukuhuku na msiufute waacheni wanaochangia wachangie.
Kenge was here.