Nitabisha mpaka kufa... Hajasema hivi

Nitabisha mpaka kufa... Hajasema hivi


Kaka huko chini kuna utamu bana
Mtume mwenyewe aliweza kuvunja amri akala tunda kisa kaambiwa na mwali wake sembuse sie??
Vilevile lazma tujiulize,kwamba hali hio alikua APPLE na maisha yetu humu duniani ni shida tupu
Je angekula PILIPILI??
Isingekuwepo JF wala QF
Ni jambo la kushikuru kwa kula Apple
 
Kuna utafiti wowote sehemu yoyote duniani unaonesha polygamy inapunguza "umalaya"?
 
Hii inatuhusu sisi wa dini ile yenye kizuia hicho
 
Back
Top Bottom