Nitabaki peke yangu hadi akili itulie

Joined
Dec 6, 2014
Posts
47
Reaction score
13
Wadau,nilileta habari kuhusu Mume wangu kunisaliti. Amesema hanitaki, bora nibaki hadi akili itulie, wanaume hawafai.
 
Kwani watu mna shida gani ya uandishi wa "hakili" badala ya "akili"..."hitulie" badala ya "itulie" hii "H" inatokea wapi??? Utakuta jitu linaandika "hupo" badala ya "upo"...naona kiswahili kinaharibiwa kwa makusudi, mwandishi wa uzi huu akiwemo pia.
 
Akili yako ikitulia nitafute...

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
were you high on weed when you signed up for JF??...WHAT A NAME LADY!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…