'Nitaanza na MGOMO wa MADAKTARI'

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Kauli hiyo ilitolewa na Dr Hussein Mwinyi,ambaye alikua ni miongoni mwa mawaziri waliotoa ahadi za maziwa na asali mda mchache baada ya KUAPISHWA...
Japo haujapita muda mrefu saana tangu aingie wizaran namuona dr Mwinyi anaendeleza swaga za Dr Mponda
 
nakumbuka mwinyi aliwahi kufika ukumbi wa 'korea' ili kutatua mgomo wa madaktari mwaka 2004(kama sikosei) na hakufanikiwa.leo hii ataweza?
 
Si atafanya yale yale aliyokuwa na anayafanya huko Wizara ya ulinzi alikokuweko?

Tabia haina dawa! Udhaifu.
 
Back
Top Bottom