Nitaandika kesho ✍🏻🙏🏽

Nitaandika kesho ✍🏻🙏🏽

Mnatupatia matumaini hewa,
Hadi rafiki yetu Tumainiel kakimbia account yake
Hakuna anayempa mwingine "matumaini hewa" hapa.
Hili ni jukumu letu sote waTanzania, wewe na mimi; usitegemee kupewa matumaini bali yatafute hayo matumaini wewe mwenyewe kwa kushirikiana na waTanzania wenzako wanaokataa ujambazi unaofanywa na Samia na Genge lake.
 
Ndio tatizo la taarifa za kibongobongo za kuwa nimeambiwa sijui za chini ya uvungu au eti zimetoka jikoni....halafu mbulula zote zinaamini...
Leta hapa ushahidi wa maongezi ya kudukuliwa iwe ya simu au mtandao, sio upupu kila siku wa nileletewa za ndani....
 
Mnapoteza muda wenu bure tu kuongea ujinga.

Hakuna kitachotokea.

Fanyeni kazi hakuna muujiza kwenye maisha zaidi ya huo.
 
Back
Top Bottom