Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 9,282
- 13,712
Oya mwangu vipi taangu Chama kubwa tushinde kwa 98% sikuoniI have to write something important kesho
Tarehe 15th November 2025
Britanicca
Oya mwangu vipi taangu Chama kubwa tushinde kwa 98% sikuoniI have to write something important kesho
Tarehe 15th November 2025
Britanicca
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pombe sio chai
Labda mpo majira tofauti yeye kwake ishaingia tarehe 14 kitambo...
Mimi nilimuweka kwenye dustbin nilikua namuona hamnazo hasa neno lake la 'chai' ila sasa hivi namkubaliIla dogo awamu hii kuanzia Ile 29 tarehe umenifurahisha sana. Kabla ya hapo nilikuwa nakuweka kundi Moja na akina lucha nilidhani akili zako zipo kwa team kiba vs team diamond. Ila msimamo ulio onesha dhidi ya wadhalimu imebidi ni kupe heshima Yako.
Chama 😆Oya mwangu vipi taangu Chama kubwa tushinde kwa 98% sikuoni
YesSisi huku tarehe 13
Malaysia time 🫡🫡
Unaingia rasmi kwenye kundi la Wazee wa matamko.I have to write something important kesho
Tarehe 15th November 2025
Britanicca
Sawa,saa sita itakua hiyo tarehe,andika chap tuamke nao.
Acha bangi, kesho n 14 November 2025kesho Tarehe 15th November 2025
Upi mkuuHii ndio sababu ya kuufufua ule Uzi wako?
July julyLeo Novemba,jambo kubwa bado tu?Ahadi ni déni.