The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,426
Jina langu halisi naitwa Muhamed Awadh Mafwere. Ni inspekta wa polishi kikazi.
Kwa amri toka juu, niliwaita washirika wetu akina Zuwena aliyejiita Rose, Zahra aliyejiita Sofia, Mahamoud aliyejiita Martin, Yahya aliyejiita Yohana na wengine wengi.
Kama 'wakatoliki' tuliandamana kupinga namna dini 'yetu' inavyotumika vibaya na kupiga vita serikali ya kipenzi cha Mungu na Watanzania.
Hivyo, binafsi kama 'mkatoliki' halisi, mimi Muhamed Awadh Mafwere Magwengefwenge Mwakafwila, naapa kuwa nitaandamana hadi Mtume sorry Yesu atakaporejea.
Kwa amri toka juu, niliwaita washirika wetu akina Zuwena aliyejiita Rose, Zahra aliyejiita Sofia, Mahamoud aliyejiita Martin, Yahya aliyejiita Yohana na wengine wengi.
Kama 'wakatoliki' tuliandamana kupinga namna dini 'yetu' inavyotumika vibaya na kupiga vita serikali ya kipenzi cha Mungu na Watanzania.
Hivyo, binafsi kama 'mkatoliki' halisi, mimi Muhamed Awadh Mafwere Magwengefwenge Mwakafwila, naapa kuwa nitaandamana hadi Mtume sorry Yesu atakaporejea.