Town Hustler
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 278
- 364
Habarini,
Nina Diploma ina Law nahitaji kusoma kozi za degree tofauti na Law
Kipaumbele changu ni kusoma masuala ya serikali za mitaa, maendeleo ya jamii na mipango miji
Vyuo km vile Cha Serikali za mitaa na kile cha Mipango Dodoma
Maswali
a) Nikiomba inakubali?
Nina GPA 3.1
Nina Diploma ina Law nahitaji kusoma kozi za degree tofauti na Law
Kipaumbele changu ni kusoma masuala ya serikali za mitaa, maendeleo ya jamii na mipango miji
Vyuo km vile Cha Serikali za mitaa na kile cha Mipango Dodoma
Maswali
a) Nikiomba inakubali?
Nina GPA 3.1