Burapaa
Member
- Feb 24, 2023
- 18
- 16
Habarini wakuu mimi ni muhitimu katika ngazi ya stashahada nikiwa nimefanikisha kusom kozi ya business administration.
Kabla sijafanya maamuzi ya kuchagua kozi mm mwenyew nimeona nije nisikilize na mawazo yenu, Kama nikiwa na mpango wa kusoma shahada naombeni mawazo yenu nisome kozi gani na vyuo gani bora kwa hapa Tanzania
Kabla sijafanya maamuzi ya kuchagua kozi mm mwenyew nimeona nije nisikilize na mawazo yenu, Kama nikiwa na mpango wa kusoma shahada naombeni mawazo yenu nisome kozi gani na vyuo gani bora kwa hapa Tanzania