MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 7,205
- 13,496
kijana unaweza kuwa,asikukatishe tamaa mtu yeyote cha msingi usiwaze chuo kizuri au mwalimu mzuri kuliko wote you have to learn all yourself nilichogundua watu wapo kivyeti hii ni kwa yeyote anayesoma post hii "Shule huua kipaji cha mtu." Elewa tofauti ya Elimu na Shule... jenga aina yako pekee ya kufikiri mfano utakaposema unachora picha ya Mungu kila mtu atakuita mjinga but ulichofikiri ni traits za genius.. Kumbuka "Isaack Newton alijiuliza kwa nini tunda linadodonka chini na si juu" huu ukawa mwanzo wa kanuni za mwendo... Asikwambie mtu na ukamsikiliza eti huwezi kwa sababu upo Tanzania na wewe ni mweusi.. hatuwezi kwa sababu hatujajaribu,tukishindwa tunaacha na hatuamini katika uwezo wetu pia tumelishishwa ujinga wa kujidharau