Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,276
poa ila mpango wangu nikuja kumuoa ili nilee mwanangu
ulikuwa wapi siku zote usimuoe?ushahisi kuna mtu mwingine yuko nae unataka kumuaribia
poa ila mpango wangu nikuja kumuoa ili nilee mwanangu
Mahusiano unayoulizwa ni yale ya kuendelea kugonga mzigo au mahusiano yaliyopo ni ya kutoa matumizi tu?
mzigo nilikua nagonga kamakawaida ila jana ndo kaniambia hivyo
Wana JF,
Mimi nina mdada nimezaa naye ila yupo kwao, mtoto namtunza vizuri tu mahitaji yote anayotakiwa kuwa nayo mtoto ila cha kushangaza jana nimempigia sim mama mtoto wangu kaniambia nisimpigie sim wala kumtumia SMS hataki, ana maana gani?
Ushauri wenu tafadhari
kwahiyo nikitaka kujua mwanangu anaendeleaje ni fanyaje?
poa ila mpango wangu nikuja kumuoa ili nilee mwanangu