- Thread starter
- #21
nenda kwao ka-hoji
ngoja niende
nenda kwao ka-hoji
kwahiyo nikitaka kujua mwanangu anaendeleaje ni fanyaje?
Kuna wanaume wanaililia bahati kama yako, mwanamke atalea mtoto mwenyewe wewe unapata shida gani?
Idadi ya wanawake ni zaidi ya billion 3 duniani. stop crying.
wana jf,
mimi nina mdada nimezaa naye ila yupo kwao, mtoto namtunza vizuri tu mahitaji yote anayotakiwa kuwa nayo mtoto ila cha kushangaza jana nimempigia sim mama mtoto wangu kaniambia nisimpigie sim wala kumtumia sms hataki, ana maana gani?
Ushauri wenu tafadhari
ndio bado tunamahusiano na wazazi wake wananifahamu na wangu wanamfaham pia
nyambafu,kumbe wewe ndiye unayeniharibia mke wangu?wana jf,
mimi nina mdada nimezaa naye ila yupo kwao, mtoto namtunza vizuri tu mahitaji yote anayotakiwa kuwa nayo mtoto ila cha kushangaza jana nimempigia sim mama mtoto wangu kaniambia nisimpigie sim wala kumtumia sms hataki, ana maana gani?
Ushauri wenu tafadhari