Nisimpigie simu wala kumtumia meseji

Nisimpigie simu wala kumtumia meseji

Hasadi

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2014
Posts
258
Reaction score
52
Wana JF,

Mimi nina mdada nimezaa naye ila yupo kwao, mtoto namtunza vizuri tu mahitaji yote anayotakiwa kuwa nayo mtoto ila cha kushangaza jana nimempigia sim mama mtoto wangu kaniambia nisimpigie sim wala kumtumia SMS hataki, ana maana gani?

Ushauri wenu tafadhari
 
Kama kasema usimpigie basi usimpigie.

Tatizo liko wapi hapo?
 
muulize yeye kwa nini akakwambia hivyo kabla hujaja hapa jf
 
Nijibu kwanza haya.

Bado mlikuwa na mahusiano? Nikimaanisha wapenzi, au ndo ilibakia tu kulea mwana?

Na, je wazazi wake na huyo binti wanakufahamu?
 
Nijibu kwanza haya.

Bado mlikuwa na mahusiano? Nikimaanisha wapenzi, au ndo ilibakia tu kulea mwana?

Na, je wazazi wake na huyo binti wanakufahamu?
ndio bado tunamahusiano na wazazi wake wananifahamu na wangu wanamfaham pia
 
Ah ah kijana uchumba miaka mi3 na bado unajipa moyo chako hicho? Mwenzio ameshapata mali mpya inataka weka ndani
 
wanaume tupo wachache sana kwa sasa....with that brain u find that he is also kibamia,1-minute man.....go on girl!!!
 
Back
Top Bottom