Clarity
JF-Expert Member
- Jul 6, 2010
- 1,586
- 2,085
Duh wasomi wa nchi hii ni taabu tupuUmenipa wazo jema,
JE WAKIskani zile bakodi zao na Q SCANNER?
itakuwaje??
Duh wasomi wa nchi hii ni taabu tupuUmenipa wazo jema,
JE WAKIskani zile bakodi zao na Q SCANNER?
itakuwaje??
Chanjo ni salama na wengi tumechoma na tunadunda kwa Sana. Umesikia Mtanzania gani kachoma àkapata madhara?Habari ndugu zangu.
Nisiwachoshe niende kwenye mada
Nina SCHOLARSHIP TATU.
1. Oslo university NORWAY
2. Kenyatta univesity, Nairobi KENYA
3. Maseno university, Kisumu KENYA.
Kusoma degree ya pili.
Sasa naogopa nasikia mipakani au kusafiri ni lazima uchanjwe au uwe na certificate ya Corona.
Nawaza mno nakosa majibu, muda unazidi kwenda na vyuo vimeanza, na tayari nilipata Online orientation.
Nishaurini wakuu, ni mtumishi na mwajiriwa serikalini.
View attachment 1926728
WHO wameipitisha. Na mamlaka kubwa za kudhibiti ubora wameipitisha.
haija fanyiwa utafiti wa kutosha mkuu
Ukichanja ndiyo bas tenaSawa mkuu ni wazo yako,
PIA NIME YAPOKEA
Huu ishauri wa hovyo kuwahi kutokea.Tafta nesi mpe 100k akujazie form kama umechanjwa upate cheti uendelee kufanya shughuli zako.
Anaweza akaja kamatwa, unamshauri vibaya. Hiyo siyo manjano.Tafta nesi mpe 100k akujazie form kama umechanjwa upate cheti uendelee kufanya shughuli zako.
Itakula kwako chagua kimoja kuchanja au kutochanjaUmenipa wazo jema,
JE WAKIskani zile bakodi zao na Q SCANNER?
itakuwaje??