Nishaurini ninunue tv ipi kati ya hizi flat screen

Nishaurini ninunue tv ipi kati ya hizi flat screen

kutokana na ufundi wangu wa electronics sUmsung ni fake , ila Singsung na zec ni brand nzuri kwa wenye kipato cha kawaida na wale wasioangalia majina makubwa. singsung TV, Deck, Fridge ni nzuri nakushauri kama fundi Coz ubora wa kitu sio jina ila ni Perfomance. singsung na zec components zake ziko powa sana.
 
Mi pia nilijua ni typing error kumbe kuna kitu cha sumsung kipo? duh hali ni mbaya,jamaa amefanya jambo la maana kuuliza ushauri wangu ni kwamba zote hizo ni mchina ni bora ajipigepige anunua samsung,sony nzuri ila bei yake ni kubwa coz wenyewe wanaringia ubora but kama unataka kununua tv tafuta kati ya hizo tatu,LG Sony na Samsung.ni bora ununue kwa mtu kuliko kununua mchina dukani.
 
Samsung LED inchi 32 series 4 650000 series 5 750000 inchi 40 1.1 M....
Zote hizo ni LED ukitaka LCD bei inapungua...chek ZEC ni bora nazo na ni cheap zaidi na imara...pia unaweza ukajipatia plasma inchi 43 kwa 900000 samsung...

Hizi singsung nasikia nzuri pia..nenda madukani kama ni mpenzi wa quality picture utaona tofauti...
Huyo anayesema series 8 sijui anaongelea product gani coz ukitoka series 5 samsung LED next 1 ni series 6 hizi ni 3D bei inaanzia 1.8m sasa series 8 khaaa

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom