Nishaurini kuhusu huyu dada

Nishaurini kuhusu huyu dada

Achana naye huyo wa kazi gan? Kwanza mambo ya kuoa hayana dili halafu huyo hakupendi ataishia kukuomba pesa Mara ooh za umeme,Mara nguo,Mara Simu au nikopeshe usipompa atakwambia basi nafuta namba yako

Ni mwanamke mstaarabu sana na hajawahi kuniomba hela hata mara moja. She is nat materialistic
 
Mwanamke n vigum sana kufuta namba ya mwanaume ila sisi tukizinguliwa kidog tu lazima tufute namba za mwanamke.
 
Ha ha ha kwa sababu tuna bango usoni... Anakuvutia kasi tu ipo siku anakulipua

kimsingi ninamfahamu toka tulivokuwa chuoni first year na sasa amemaliza mwaka wa tano chuoni, ingawa mimi nilikuwa mbele yake kwa miaka miwili. Yan ni zaidi ya mstaarabu
 
kimsingi ninamfahamu toka tulivokuwa chuoni first year na sasa amemaliza mwaka wa tano chuoni, ingawa mimi nilikuwa mbele yake kwa miaka miwili. Yan ni zaidi ya mstaarabu

mimi nisiongee zaidi aiseee .. ila mwanamke huwa asamewi mkuuu.. achana na hichi kiumbe mwanamke aisee... ila amini ni mstarabu vizuri na hongera
 
Hakupendi

Dada nakuomba unipende tafadhari. Nitatekeleza yote utakayo niagiza nikutekelezee, nimechoka kusubiri bahati, naona kama siku hizi bahati zimekwisha,nifanye nijione mfalme hata kwa nusu siku tu,ili nimi nijione nimejaaliwa kuliko wanaume wote,plz.
 
ww dada eb mjali hyu jamaa mana kla thread lazma aende op kwa mada wekwa!
back 2 da topic!braza kaka penz co ndiz et ata kma haijaiva utamenya utakla,further more women wana mcmamo xana kwa wasemayo especially kma mada concern herself,so ka hatak temana nae,kwan sh ngap kaka
 
Watu mna mioyo migumu,yani mwaka mmoja na nusu unafukuzia manzi tu?
 
Unachoshindwa kuelewa ni kuwa huyu hajawahi kuingia kwenye unayoita hati miliki yako. Kwa hiyo hiyo ruba style yako haifanyi kazi.

Ila nafurahi sana nikimuona mwanaume anaedhani yuko irresistible. Kuishi ni kujifunza, siku ukiachika uje uanzishe uzi wenye nyota nyota
mkuu uzoefu wangu msichana akiingia kwenye hati miliki yangu huwa hawezi kutoka labda nimwache mimi, mana huwa anawasahau mabwana zake wote waliopita.

Aijichanga tu choices zake zitakuwa;

1. Mzee wa masauti
2. Mzee wa masauti
3. Mzee wa masauti

yaan kama kama Lowassa vile
 
Unachoshindwa kuelewa ni kuwa huyu hajawahi kuingia kwenye unayoita hati miliki yako. Kwa hiyo hiyo ruba style yako haifanyi kazi.

Ila nafurahi sana nikimuona mwanaume anaedhani yuko irresistible. Kuishi ni kujifunza, siku ukiachika uje uanzishe uzi wenye nyota nyota

Kwa hali ilivyo sasa, yeye ndo anaekuja kasi kwenye mawasiliano katu ambacho hakikuwepo kabla. sasa ndo nashidwa kumwelewa.
 
Dada nakuomba unipende tafadhari. Nitatekeleza yote utakayo niagiza nikutekelezee, nimechoka kusubiri bahati, naona kama siku hizi bahati zimekwisha,nifanye nijione mfalme hata kwa nusu siku tu,ili nimi nijione nimejaaliwa kuliko wanaume wote,plz.
duh umejisifu ila umeshahu kuniambia kama unapesa aiseee
 
Huyo hakupendi, anasumbuliwa na upweke na anataka umpotezee mawazo wakati anamsubiri ampendae arudi au apatikane mpya.
 
Kila gari linalotembea rodini lina dereva. Fuata ushauri wa Kaboom
 
Last edited by a moderator:
Sabalkheri wanajamvi wa MMU.

Nimekuwa msomaji wa uzi mbalimbali katika jukwaa hili lakini ni mara chache sana nimekua nikitoa mada.

Leo nina kisa kimoja ambacho ningeomba mnishauri wanajamvi, Ni hivi kuna mdada mmoja nilianza kumfuatilia kwa maana ya kumtongoza yapata mwaka mmoja na nusu umepita. Awali tulikuwa tunawasiliana vizuri kwa simu kwa miezi minne ya mwanzo na aliniambia yupo single by that time.

Kiukweli ni mdada alieumbwa akaumbika mashaallah. Lakini baada ya hapo ikawa kila nikimpigia simu hapokei au sometimes ananikatia na wala hajibu sms zangu kwa zaidi ya miezi nane hadi ikafika mahala nikakata tamaa kwa huyu bidada shosti.

Nilivyoona hali ngumu nawasiliana na mtu ambae ha-respond kwa chochote nikaamua kumpotezea.

Sasa mwezi uliopita yaani september picha likaanza tena. Baada ya kurudi zangu safari Dar kutoka Arusha nikawa nimelala zangu home ile naamka tu kucheki simu yangu nikakuta missed call yake. Wallah moyo ukashtuka kwanza mana nilijua hata namba yangu alishafuta kwenye contacts zake, So nikaamua kumpigia simu nijue kulikoni?

Basi nikamwendea hewani akapokea simu tukapiga stori za hapa na pale. Nikawa naweka bidii kwenye kuwasiliana nae akawa anapokea simu. Nikaanza kumkumbushia lile ombi langu akaanza kuniambia mara ooh nina boyfriend mara ooh hapendi kuwa nawasiliana nae.

sasa mi nikawa najiuliza kama ana mtu mbona ni yeye ndo alieanzisha mara baada ya kuyasitisha mwenyewe na yeye anajua kwamba kweli ninampenda na actually nilimuahi ninahitaji kumuoa.

Wajameni can i move on with that gal au nimpotezee mana nashindwa kumwelewa kabisa.

Ushauri tafadhali.


KING OF THE BEST MELODY

Duuh...ulibug kk. Miez 4 aliamua kukupotezea cz aliona hufunguki...unajua bby anaekuambia yuko single ana yake juu ako.....ile wik ya kwanza ulitakiw umfungukie mpka akuogope.....achana nae...poz nying 2pa kule.
 
Duuh...ulibug kk. Miez 4 aliamua kukupotezea cz aliona hufunguki...unajua bby anaekuambia yuko single ana yake juu ako.....ile wik ya kwanza ulitakiw umfungukie mpka akuogope.....achana nae...poz nying 2pa kule.

mkuu, huyo manzi nilimfungukia since day one and she knows kwamba namzimikia. ikafika mahali kutokana na pozi kuzidi nikakapotezea na alivoona nimepotea akaanzisha yeye mawasiliano
 
ww dada eb mjali hyu jamaa mana kla thread lazma aende op kwa mada wekwa!
back 2 da topic!braza kaka penz co ndiz et ata kma haijaiva utamenya utakla,further more women wana mcmamo xana kwa wasemayo especially kma mada concern herself,so ka hatak temana nae,kwan sh ngap kaka

nimekusoma mkuu
 
Back
Top Bottom