Mzee wa Masauti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 2,199
- 2,514
- Thread starter
- #41
Achana naye huyo wa kazi gan? Kwanza mambo ya kuoa hayana dili halafu huyo hakupendi ataishia kukuomba pesa Mara ooh za umeme,Mara nguo,Mara Simu au nikopeshe usipompa atakwambia basi nafuta namba yako
Ni mwanamke mstaarabu sana na hajawahi kuniomba hela hata mara moja. She is nat materialistic