Nishaurini kuhusu huyu dada

Nishaurini kuhusu huyu dada

Sabalkheri wanajamvi wa MMU.

Nimekuwa msomaji wa uzi mbalimbali katika jukwaa hili lakini ni mara chache sana nimekua nikitoa mada.

Leo nina kisa kimoja ambacho ningeomba mnishauri wanajamvi, Ni hivi kuna mdada mmoja nilianza kumfuatilia kwa maana ya kumtongoza yapata mwaka mmoja na nusu umepita. Awali tulikuwa tunawasiliana vizuri kwa simu kwa miezi minne ya mwanzo na aliniambia yupo single by that time.

Kiukweli ni mdada alieumbwa akaumbika mashaallah. Lakini baada ya hapo ikawa kila nikimpigia simu hapokei au sometimes ananikatia na wala hajibu sms zangu kwa zaidi ya miezi nane hadi ikafika mahala nikakata tamaa kwa huyu bidada shosti.

Nilivyoona hali ngumu nawasiliana na mtu ambae ha-respond kwa chochote nikaamua kumpotezea.

Sasa mwezi uliopita yaani september picha likaanza tena. Baada ya kurudi zangu safari Dar kutoka Arusha nikawa nimelala zangu home ile naamka tu kucheki simu yangu nikakuta missed call yake. Wallah moyo ukashtuka kwanza mana nilijua hata namba yangu alishafuta kwenye contacts zake, So nikaamua kumpigia simu nijue kulikoni?

Basi nikamwendea hewani akapokea simu tukapiga stori za hapa na pale. Nikawa naweka bidii kwenye kuwasiliana nae akawa anapokea simu. Nikaanza kumkumbushia lile ombi langu akaanza kuniambia mara ooh nina boyfriend mara ooh hapendi kuwa nawasiliana nae.

sasa mi nikawa najiuliza kama ana mtu mbona ni yeye ndo alieanzisha mara baada ya kuyasitisha mwenyewe na yeye anajua kwamba kweli ninampenda na actually nilimuahi ninahitaji kumuoa.

Wajameni can i move on with that gal au nimpotezee mana nashindwa kumwelewa kabisa.

Ushauri tafadhali.


KING OF THE BEST MELODY

inauma sana kupendwa usipopendwa du yan unapoteza mda kaka move on japo inauma
 
duh umejisifu ila umeshahu kuniambia kama unapesa aiseee
Hii we vipi wewe ivi wewe unadhani mimi mjinga?naweza tongoza biti wa kichaga wakati sina pesa? pesa ipo,sio pesa tu,nina redio ya picha,kabati ya baridi,nyumba,na toyota stout,he we unafikiri mi sijui,we nipe ruhusa tu upate raha.
 
Mkuu huyo anakufanya we wa akiba..Anataka siku kikiwaka huko alipo awe na sehemu ya kupumzikia..Cha msingi na we mfanye wa dharula..Endelea na mishe zako tu..Siku akijipendekeza kula mzigo zen huna habari

Kama anamfanya wa akiba yeye amfanye wa nyongeza tu
 
Hii we vipi wewe ivi wewe unadhani mimi mjinga?naweza tongoza biti wa kichaga wakati sina pesa? pesa ipo,sio pesa tu,nina redio ya picha,kabati ya baridi,nyumba,na toyota stout,he we unafikiri mi sijui,we nipe ruhusa tu upate raha.
nimekuruhusu .. nisamehe mkuu
 
Na wew mweke wa spea hivo hivo akipiga pokea, ukijiskia mtafute sikum akikubali donoa ila jua hapo hakuna mke wala mchumba
 
Mwanamke wa hvyo anakutumia ww km mtu wa kujfarij when akiwa na ugomv na mtu wake coz anajua unampenda...fanya kat ya haya:
Mpotezee, acha kumtafuta kwa cku kadhaa yani onyesha kama huna interest nae za mapenzi tena.

Kama ataanza kukutafuta, tengeneza mazingira ugonge kwanza mengine yafate au kama hasomeki achana nae mazima asikupotezee muda.
 
Back
Top Bottom