Nina tatizo ambalo ni peculiar!
Tatizo ambalo kwa kweli silipendi na huwa lina nisononesha!
Nina uwezo wa utani mwingi na ucheshi, na vile vile naweza kutongoza bila hata ya kudhamiria.
Pochi kwangiu si shida sana, lakini kinacho nishangaza ni kuwa kila mwanamke mzuri nineye mtongoza hata kwa utani anachangamka sana na tusishia sita kwa sita.
Nasema baada ya hapo huwa nasononeka sana na naishia kujihurumia.
Unanishaurije.
Mkuu mzigo wa mwenzio gunia la sufi.usijone una bahati ndugu kwa kukubaliwa na kila unayemtongoza kwa navojua kukataliwa na mwanamke sio common thing endapo ww umeinvest nguvu zako kwenye upuuzi huo tena ushasema mfuko uko vzur hii inaonyesha ni vp unathamini uchi. you have nothing special to them ila tu ww ni mtumwa wa ngono na hlo latkuharbia na kukufungia milango mbinguni na dunian. UMENIUZ MKUU
Tatizo ni hilo domo na sikio la Avatar yako, jinsi lilivyokubwa halioni tabu kutongoza na hiyo misikio ikisikia sauti ya kike inashawishi domo litongoze na ndio sababu ya kuishia kuzini nao hao wadada.
Mkuu usione watu tuna vaa suti na kendesha magari ya thamani, kumbe tunaficha udhaifu wetu tu.mkuu is this you??
Gwe ndi ni kyeni kya ngambili(uso wa nyani), lakini wapi!!!Dah..! ya leo kali masopakyindi, au wanazimika na hilo jicho na maskio..!? (just joking)
Andika wosia,andaa pesa za kuchimba kaburi,kununua maharage,kukodi turubai na usafiri wa kukupeleka huko ila utaanza na RV.
Nina tatizo ambalo ni peculiar!
Tatizo ambalo kwa kweli silipendi na huwa lina nisononesha!
Nina uwezo wa utani mwingi na ucheshi, na vile vile naweza kutongoza bila hata ya kudhamiria.
Pochi kwangiu si shida sana, lakini kinacho nishangaza ni kuwa kila mwanamke mzuri nineye mtongoza hata kwa utani anachangamka sana na tusishia sita kwa sita.
Nasema baada ya hapo huwa nasononeka sana na naishia kujihurumia.
Unanishaurije.
nina tatizo ambalo ni peculiar!
Tatizo ambalo kwa kweli silipendi na huwa lina nisononesha!
Nina uwezo wa utani mwingi na ucheshi, na vile vile naweza kutongoza bila hata ya kudhamiria.
Pochi kwangiu si shida sana, lakini kinacho nishangaza ni kuwa kila mwanamke mzuri nineye mtongoza hata kwa utani anachangamka sana na tusishia sita kwa sita.
Nasema baada ya hapo huwa nasononeka sana na naishia kujihurumia.
Unanishaurije.
Nina tatizo ambalo ni peculiar!
Tatizo ambalo kwa kweli silipendi na huwa lina nisononesha!
Nina uwezo wa utani mwingi na ucheshi, na vile vile naweza kutongoza bila hata ya kudhamiria.
Pochi kwangiu si shida sana, lakini kinacho nishangaza ni kuwa kila mwanamke mzuri nineye mtongoza hata kwa utani anachangamka sana na tusishia sita kwa sita.
Nasema baada ya hapo huwa nasononeka sana na naishia kujihurumia.
Unanishaurije.
Mkuu usione watu tuna vaa suti na kendesha magari ya thamani, kumbe tunaficha udhaifu wetu tu.
Binadamu tuna mapungufu mengi tu, wengine ni mafundi wa kuyafunika lakini mimi nimeamua niyaseme maana yatanito roho.
mmmh hii imekaaje au ulikuwa unamaanisha anatumia kinga wakati ana do kwenye hiyo sita kwa sita...! Kinga ya Kutongoza ipo?huwa unatumia kinga wakati unatongoza?
Nina tatizo ambalo ni peculiar!
Tatizo ambalo kwa kweli silipendi na huwa lina nisononesha!
Nina uwezo wa utani mwingi na ucheshi, na vile vile naweza kutongoza bila hata ya kudhamiria.
Pochi kwangiu si shida sana, lakini kinacho nishangaza ni kuwa kila mwanamke mzuri nineye mtongoza hata kwa utani anachangamka sana na tusishia sita kwa sita.
Nasema baada ya hapo huwa nasononeka sana na naishia kujihurumia.
Unanishaurije.
Shauri juu ya kinga ya kutotongoza!!mmmh hii imekaaje au ulikuwa unamaanisha anatumia kinga wakati ana do kwenye hiyo sita kwa sita...! Kinga ya Kutongoza ipo?