hivi ni sahih kushka simu ya mpenz wako na kukagua? pia kufaham mshahara anaopokea ni vbaya as long as mna future?
hivi ni sahih kushka simu ya mpenz wako na kukagua? pia kufaham mshahara anaopokea ni vbaya as long as mna future?
Unakagua nn sasa?
Unakagua nn sasa?
ni sawa kabisa, kuwa mpole
Kuanza kuvaliana chupi sasa so long as mna future ni sawa? Jibu la hapa ndio jibu la swali lako!
hivi ni sahih kushka simu ya mpenz wako na kukagua? pia kufaham mshahara anaopokea ni vbaya as long as mna future?
U ar not faithfully
Elewa usipoaminika ndo anaanza hizo tabia na huenda una mchepuko na mshahara wako hauonekani kufanya chochote cha maendeleo
kama mnapendana hamna tatzo.
Unakagua kwani wewe ni Phone Inspector?
mambo ya kukagua simu mdogo wangu yanaletaga balaa na wakati mwingine unaweza kutana na vitu ndivyo sivyo vika cost relation yenu, mpaka utakapokuja kuelewa ukweli umeshaharibu kila kitu, na pia sizani kama uminifu wa mtu unapimwa kwa uchunguzi wa simu kama ni wako ametulia utajua tu kwa mwenendo wake na kama hajatulia pia utajua tu, swala la mshahara yeye mwenyewe ndo akwambie kwa ridhaa yake manake ukiuchunguza ukajua wakati yeye hajaridhia inakuwa bado haijakusaidia
samahan, maana yangu ni kwamb mfano wewe apo, upo bayana kumweleza mpnz wako mshahara wako ni kias gan? actual mi cna tatz na alpotaka kufaham wang nilimwambia ila nilpomuulza khs wake akasema ni siri yake ctakiwi kufaham. je ni sahih?