Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
You are not seriouskama unataka simu kweli usinunue samsung. Vuta kitu cha iPhone..... Ipo smart in design na performance. Achana na android hiyo ni buggy OS
You are not seriouskama unataka simu kweli usinunue samsung. Vuta kitu cha iPhone..... Ipo smart in design na performance. Achana na android hiyo ni buggy OS
You are not serious
tafadhali wakuu naombeni ushauri kati ya hiz smartphone iphone and samsung galaxy, alf nasikia sina huakika ni kweli et kwenye iphone kila software ukitaka kudownload lazma uripie. msada please wadau.
mkuu kwa simu ni procesor. ila huangalii tu clock speed (mfano 2ghz, 1.6ghz ) bali unaangalia pia aina ya hio processor
mfano processor maarufu ya mwaka jana ya qualcom snapdragon s4 inasuport 3g speed kuanzia 21mbps na kuendelea. hii ina maana hata ikitumika kwenye simu ndogo na clock speed ya 1ghz still speed ya internet itakua kubwa.
processor za simu zinapack vitu vingi hadi receiver za fm radio.
mambo ya ram yanakuja kutokana na browser unayotumia. kuna browser ni nzito na nyengine nyepesi. mfano operamini ni nyepesi hata simu yenye ram 32mb inakubali ila opera mobile, chrome, safari, internet explorer ni nzito ila zirun smooth atleast ram 256 kuendelea.
Kila mtu na satisfaction yake kama mteja,wewe unaangalia kujitofautishawa juu na wachini japo mpo ardhi moja.andoid ndio msimu wake acheni kila mtuaitumie bila kijali ni mchina au original.Daaah yani Samsung unaifananisha na Iphone? Your not serious, tatizo liko kwenye hiyo OS ambayo daah lets say kanyaga twende coz ss hivi kila simu ni android hadi michina, mwaka wa sita huu niko na Iphones na sijajuta bado
Sent from my iPhone 4S using JamiiForums