mkuu sasa hv playstore ina app 500,000 au 600,000 na possibly zikapungua zaidi google anapiga panga la kutosha kutoa apps za kipuuzi. kama 2 weeks ago alitoa app 60,000 kwa mkupuo.
at same time kwenye uzinduzi wa ios 7 walitoa list ya app kua sasa zimefika 900,000 so kwa upande wa apps iphone ana nyingi zaidi
kuhusu camera megapixel nyingi si quality ya camera kuna scenario kibao iphone 5 imempiku s4.
processor sio ishu na sababu zangu ni hizi.
1) asilimia 99 ya games na app maarufu zinatengenezwa kwa ajili ya ios then baadae ndo wanaziport android na wp ya mwisho
2) ios hardware zake na software zimetengenezwa na mtu mmoja ndo mana ipo smooth. kwa perfomance iphone inaperform kuliko samsung
kuhusu ukubwa wa screen nakubaliana na wewe pamoja na issue ya memory card