Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Tatizo la Ngereja ni kule KUROPOKA kwake mara sita kuwa MGAO WA UMEME SASA UTABAKI HISTORIA.............. WAKATI HALI HALISI HAIPO HIVYO........ Mbaya zaidi hadi sasa hata yeye hajatuambia tatizo hasa ni nini............KANYIMWA PESA ZA KUTEKEREZA MIRADI............ KANYIMWA WATAALAMU............ au nini kimetokea hadi hali imefikia hapa. HIVYO BUNGE LIKIANZA NA YEYE BASI ATAKEFUATA ATAKUWA MUWAZI MAPEMA.Jamani twende mbele turudi nyuma: Mimi binafsi nachukia sana nchi kuwa gizani lakini mbona Ngeleja anakuwa mbuzi wa kafara? Hivi kosa la Ngeleja ni lipi? Ni kwamba hashauri vizuri au ni kwamba nchi haina pesa za kuwekeza kwenye umeme? Hivi hili ni suala la Ngeleja binafsi au ni suala la Serikali nzima?
Nitashangaa sana kama magamba wataikataa bajeti ya Nishati. Watajibaraguza huku na kule ili waonekane kama vile wameweka maslahi ya nchi mbele lakini mwisho wa siku bajeti hiyo itapita kiulaini na Mawaziri Wachovu Ngeleja na Malima kuendelea kupeta pale Nishati huku nchi ikiendelea kuwa gizani.
Hapo ndipo penye shida sasa. Kama kuna system inayofanya vizuri hatutegemei mtu mmoja mmoja kupambana kivyake. Ni vyerma system ikawa inafanya kazi. Mkuu system haiwezi kumtegemea mtu mmoja; kam ni hivyo hiyo si system tena! Sijui kama magufuli atafanya vizuri kwenye barabara kama wakati wa Mkapa.
Nadhan IPTL ndo iliyokuja kuharibu kila kitu na mambo ya mipango ya muda mfupi nayo yameharibu sana, kama umeme wa maji umeshakuwa ni tatizo, kiwira si kuna makaa ya mawe, kule singida kuna upepo wa kufa mtu hata na jua nalo lipo sana nchini achilia mbali gesi ambayo wawekezaji walivyojimilikisha.
Hapa serikali inatakiwa ifanye kitu, wazungu wanasema it has to do something, Mimi ningekuwa nahusika na bajeti ya serikali kwa muda wa miaka miwili hadi mitano vipaumbale ingekuwa ni umeme na miundo mbinu halafu baadaye ndo tunarudi kwenye mambo yetu ya kila siku kama elimu, afya, chakula na maji.
Tatizo la Ngereja ni kule KUROPOKA kwake mara sita kuwa MGAO WA UMEME SASA UTABAKI HISTORIA.............. WAKATI HALI HALISI HAIPO HIVYO........ Mbaya zaidi hadi sasa hata yeye hajatuambia tatizo hasa ni nini............KANYIMWA PESA ZA KUTEKEREZA MIRADI............ KANYIMWA WATAALAMU............ au nini kimetokea hadi hali imefikia hapa. HIVYO BUNGE LIKIANZA NA YEYE BASI ATAKEFUATA ATAKUWA MUWAZI MAPEMA.
Kwa wabongo tulivyo kuaachia Uwaziri usikute ameishaanza kuwaza mengi tu ndio maana anaona mbinde kujiuzuluWhichever way we want look at this issue lakini kipimo kimoja ni hiki: Magufuli akisimama either bungeni au huku uraini na akasema barabara fulani itajengwa ndani ya miezi 8 watu wanamwamini, lakini Ngeleja kila analosema i.e mgao mwisho, mafuta yamenunulia, hata wabunge wa ccm wanakataa kauli zake! why? ukweli vs porojo! Na kama Ngeleja anajuwa kuwa mambo ni tofauti kwa nini (a)anatangazia umma na hata wabunge wenzake wa ccm uwongo na (b) kwa nini anasimamia failure? As a leader anaongoza nini? Ni kwanini na kwa vipi umma wa Watanzania uendelee kumuamini kuwa ana uwezo, nia na hata mikakati ya kweli ya kutatua tatizo la umeme na mikataba mibovu ya madini?
Hivi ukibebeshwa gunia la mahindi la uzito kwa kg100 na ukaona kabisa hauwezi hata kupiga hatua moja utafanya nini?
Nalibwaga chini na kuanza mbele.......... ya nini nipoteze uhai wakati uwezo wa kulibwaga upo mikononi mwangu.........??!!Whichever way we want look at this issue lakini kipimo kimoja ni hiki: Magufuli akisimama either bungeni au huku uraini na akasema barabara fulani itajengwa ndani ya miezi 8 watu wanamwamini, lakini Ngeleja kila analosema i.e mgao mwisho, mafuta yamenunulia, hata wabunge wa ccm wanakataa kauli zake! why? ukweli vs porojo! Na kama Ngeleja anajuwa kuwa mambo ni tofauti kwa nini (a)anatangazia umma na hata wabunge wenzake wa ccm uwongo na (b) kwa nini anasimamia failure? As a leader anaongoza nini? Ni kwanini na kwa vipi umma wa Watanzania uendelee kumuamini kuwa ana uwezo, nia na hata mikakati ya kweli ya kutatua tatizo la umeme na mikataba mibovu ya madini?
Hivi ukibebeshwa gunia la mahindi la uzito kwa kg100 na ukaona kabisa hauwezi hata kupiga hatua moja utafanya nini?
Enzi za Mkapa, kipindi hiki na ishu ngumu kama hii anakuwepo pale chamwino. Hivi JK yupo wapi vile???