Nishakuwa kipusa!

Nishakuwa kipusa!

Tope

Member
Joined
Jul 23, 2012
Posts
74
Reaction score
61
Habari wa na jf? Wanajamvi hali ya maisha yangu kwa sasa imekuwa tete. Tangu dec 2012 nipo jijini kwa uncle tumbo moja na mama kwa minajili ya kumsaidia katika shughuli zake za biashara na kusubiri kama nitapata ajira ya kueleweka popote pale. Uncle ana aunt tunayeishi nae japo hajamuoa na ukweli ni kwamba uncle anaye mke wa ndoa na yupo mkoani ambapo yupo huko tangu tar 28 march.Utata ulianzia pasaka ambapo uncle alipiga cm kuwa mimi na aunt tukale bata popote ameturuhusu. Kutokana na hali ya hewa kuwa mbaya tuliamua kwenda bar jirani japo hatukukaa sana tukarudi home kama saa mbili tukiwa wazima. Aunt alinambia anamazungumzo na mimi tukawa tumekaa tunazungumza akawa anamsema vibaya uncle kuwa ni malaya mpaka akawa analia nikajitahidi kumbembeleza mpaka nikajikuta namkumbatia na kumshika shika mpaka mwisho tuka maliza na tukaingia chumbani kwake mpaka asbh sasa imekuwa kila siku nalala nae jana dada wa kazi karudi kutoka kwao Tanga usiku kaniona nimeingia leo kanitumia sms kanambia sio vizuri. Natamani kufa
 
Tatizo kale kamchezo ukikaanza kuacha ni ishu maana kila ukikumbuka tu
shetwani anakuingia akilini unajikuta umekula mzigo,***mi nakushauri kama unajipenda you better move ur a,ss urudi kijijini kwenu tu
 
ah wewe...sasa maid nae atakuwa anataka mwanawane...wanwake wana wivu. bwana kijana changamkia tenda hiyo ya threesome hapo uji-enjoy kwa raha zako. vipi uliipiga kavu lakini?
 
Haya maisha ya utegemezi ni lawama na laana ndizo mnazozitafuta tu. Hivi kila siku mnaambiwa kuwa pombe sio chai bado hamu amini tu. Hata kama hajamuoa sio ndio kuwe na uhalali kwako kula sahani moja na Mjomba wako maana tunaambiwa kua mjomba ni kama mama sasa je ungekua mwanamke ungeweza kuchukua bwana wa mama yako.?
 
Lucas hapo hakuna cha kumshauri mtu kama huyo ambaye kila kitu kinamsuta
Bado wewe ni tegemezi na umekuja mjini hata kazi huna ushaingia mpaka kwenye kitanda cha mjombako umelala na mkewe na bado umekaa hapo hapo unasubiri na kuomba ushauri wa nini ufanye
Elimu tuu hata ya dunia ingekushauri kuwa umeshafanya kosa na unatakiwa kuchukua maamuzi magumu
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Yaani aunt yako kulia tu, ukamshika hadi akamaliza?? Alimaliza kulia? au sijaelewa maana nina evil mind all the time

Aisee, mahusiano ya jinsia moja sio taboo tena, itabidi yaruhusiwe kujadiliwa tu.

Unatamani kufa kwa kubambwa na hg au utamu?
 
Kumbe ni he??

Mbona ana sauti ya she kabisa??

ah wewe...sasa maid nae atakuwa anataka mwanawane...wanwake wana wivu. bwana kijana changamkia tenda hiyo ya threesome hapo uji-enjoy kwa raha zako. vipi uliipiga kavu lakini?
 
Pole Sana Tope Acha huo Mchezo Mchafu kabla mambo Hayajawa mabaya zaidi..Umefunua utupu WA mjomba wako hata hiyo kazi uliyotakiwa kuipata hutopata tena aisseee...Umejilaani mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Naona Tope kaamua kuwa 'like uncle like nephew'...., kavaa viatu vya uncle, duh kweli shetani ana nguvu... dogo jitahidi kimbia dhambi hiyo..., kimbia , kimbia tena usigeuke nyuma. kimbia
ndio maana niliwa ita, ila kama bado akili yake ni Tope atafnya matope tu
 
Last edited by a moderator:
Yaani aunt yako kulia tu, ukamshika hadi akamaliza?? Alimaliza kulia? au sijaelewa maana nina evil mind all the time

Aisee, mahusiano ya jinsia moja sio taboo tena, itabidi yaruhusiwe kujadiliwa tu.

Unatamani kufa kwa kubambwa na hg au utamu?

ulu nang'hwe ni munhu tulumbishaga ng'ombe jinga ahenaho?
 
Wanajamvi kwa mfano nikimwambia aunt kuhusu sms ya dada huyu binti si atarudishwa kwao na mambo yatakuwa poa? Pia uncle si hajamuo aunt so sikama mademu wengine wa kitaa tuu!
 
Habari wa na jf? Wanajamvi hali ya maisha yangu kwa sasa imekuwa tete. Tangu dec 2012 nipo jijini kwa uncle tumbo moja na mama kwa minajili ya kumsaidia katika shughuli zake za biashara na kusubiri kama nitapata ajira ya kueleweka popote pale. Uncle ana aunt tunayeishi nae japo hajamuoa na ukweli ni kwamba uncle anaye mke wa ndoa na yupo mkoani ambapo yupo huko tangu tar 28 march.Utata ulianzia pasaka ambapo uncle alipiga cm kuwa mimi na aunt tukale bata popote ameturuhusu. Kutokana na hali ya hewa kuwa mbaya tuliamua kwenda bar jirani japo hatukukaa sana tukarudi home kama saa mbili tukiwa wazima. Aunt alinambia anamazungumzo na mimi tukawa tumekaa tunazungumza akawa anamsema vibaya uncle kuwa ni malaya mpaka akawa analia nikajitahidi kumbembeleza mpaka nikajikuta namkumbatia na kumshika shika mpaka mwisho tuka maliza na tukaingia chumbani kwake mpaka asbh sasa imekuwa kila siku nalala nae jana dada wa kazi karudi kutoka kwao Tanga usiku kaniona nimeingia leo kanitumia sms kanambia sio vizuri. Natamani kufa

ni kawaida kujisikia vibaya kwasaabu ulichokifanya sio chema. Ko chukulia tu kama huyo bnt ka2mwa kutoka juu kukush2a uache.
 
Habari wa na jf? Wanajamvi hali ya maisha yangu kwa sasa imekuwa tete. Tangu dec 2012 nipo jijini kwa uncle tumbo moja na mama kwa minajili ya kumsaidia katika shughuli zake za biashara na kusubiri kama nitapata ajira ya kueleweka popote pale. Uncle ana aunt tunayeishi nae japo hajamuoa na ukweli ni kwamba uncle anaye mke wa ndoa na yupo mkoani ambapo yupo huko tangu tar 28 march.Utata ulianzia pasaka ambapo uncle alipiga cm kuwa mimi na aunt tukale bata popote ameturuhusu. Kutokana na hali ya hewa kuwa mbaya tuliamua kwenda bar jirani japo hatukukaa sana tukarudi home kama saa mbili tukiwa wazima. Aunt alinambia anamazungumzo na mimi tukawa tumekaa tunazungumza akawa anamsema vibaya uncle kuwa ni malaya mpaka akawa analia nikajitahidi kumbembeleza mpaka nikajikuta namkumbatia na kumshika shika mpaka mwisho tuka maliza na tukaingia chumbani kwake mpaka asbh sasa imekuwa kila siku nalala nae jana dada wa kazi karudi kutoka kwao Tanga usiku kaniona nimeingia leo kanitumia sms kanambia sio vizuri. Natamani kufa

Pole yake mke wa ndoa wa huyo mjombawako mkware!!In short nenda kwenu kabla hujafanya majanga mengine lol! Ndo mana huwa nakataa mchezo wa kuishi na ndugu kama wewe!Go go babaa maana nahofia huenda ukatembea au kuwabaka watoto wa mjomba wako wakike au wakiume, looh!!!
 
Kongosho twende pole pole, angalia kwanza
uncle ana mke yuko kijijini toka mweze wa tatu
ni juzi tu hapo
tena soma hapa "............
Utata ulianzia pasaka ambapo uncle alipiga cm kuwa mimi na aunt tukale bata popote ameturuhusu..........."
je hauoni hapo pana baraka zote za mjomba?????

Yaani aunt yako kulia tu, ukamshika hadi akamaliza?? Alimaliza kulia? au sijaelewa maana nina evil mind all the time

Aisee, mahusiano ya jinsia moja sio taboo tena, itabidi yaruhusiwe kujadiliwa tu.

Unatamani kufa kwa kubambwa na hg au utamu?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom