Nisameheni

cheusimangara
@ thanx kwa kile kitu eti ee dada halisi wa Kitanzania
talk to u kesho mpendwa

hata mi ntakipenda naombeni wajemeni......
nisameheni kwa kudandia tren kwa mbele
 
hata mi ntakipenda naombeni wajemeni......
nisameheni kwa kudandia tren kwa mbele

hahaha ni kweli hata kwako kitakuwa kizuri sana ngoja aje leo sijui kaenda wapi namtafuta kama Almas Mwadui
 
hahaha ni kweli hata kwako kitakuwa kizuri sana ngoja aje leo sijui kaenda wapi namtafuta kama Almas Mwadui

kweli eeeh!!?
basi mtanigaia hata kwa piemu tu nitest, seriously nakitaka!!
Cheusi nahisi mpaka jioni jioni hivi ndo atakuja...
 
Kwani pm za hao jamaa zilisema wanataka kuoa?
 
FL1 avatar yako inanitia majaribuni, sijui nikutumie PM?

Kaazi kweli kweli itabidi kuzifanyia avatar zenye mvuto kwa kweli zingine ni mitego ya wazi wazi
 

Hii thread sasa imekosa maana, kwasababu "nguruwe kayarudia matapishi yake mwenyewe". Mods put it in the dust bin.
 
Jamani!. keshaomba samahani, mi nadahani kikubwa ni kumsamehe, nyie ambao mnataka kuongeza namba of your posts kwenye jf endeleeni na mjadala wa kuhoji kuomba kwake samahani. CHEUSIMANGALA, MI NIMEKUSAMEHE NA NINAHAMA KWENYE HOJA.
 
lakini hii inatisha sana. Ina maana avatar ya mtu imefanana nae? Kwa hiyo hiyo avatar yangu ndio mimi? Sikujua. Ila wanaume tudhibiti hizi fantasies zetu
 
Jamani!. keshaomba samahani, mi nadahani kikubwa ni kumsamehe, nyie ambao mnataka kuongeza namba of your posts kwenye jf endeleeni na mjadala wa kuhoji kuomba kwake samahani. CHEUSIMANGALA, MI NIMEKUSAMEHE NA NINAHAMA KWENYE HOJA.

he umeenda kuitoa wapi wangu hii Post
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…