Nisamehe waitress

noma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee pole sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rafiki yngu ni MTU anayemaindi sana....ingekua ndio yy kahudumiwa hivyo, Kakuhakikishia binti yule angechezea makofi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hapana.Hatar hii.
Umeshatoa ushuhuda kule kwenye uzi pendwa??
Naamin katika visa 1000 ,vya masihara havikosekani.
Ahahahah
Mkuu 80% niliwatafuna kimasihara,kama wadau wanavyosema,Mana Mimi nilikuwa nakawaida sichombezi mpaka nione kuna viashiria vya mtoto kutaka kuliwa.Halafu sijui kwanini shetani alikuwa upande wangu,Mana nilikuwa nikiweka akilini tu kwamba huyu namla basi nitamla kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@Marcy stress za nn na wakati mabikira wapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…