Nisamehe waitress

Naona stress za kutokupata bikra umeamua umalizie muhudumu ungemwelewesha kistaarabu dada hapa umekosea hukupaswa kufanya hivi hiyo kunywa nipatie nyingine
wala usingepungukiwa chochote
nahisi waliokaa pembeni walikudharau sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee mbona mada mbili tofauti unawezaje kunywa Pepsi, Miranda, 7up kwa wakati mmoja?
 
Diamond wanauza samaki wa vipande.....!!!!????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nishawai letewa chakula.kijiko cha kwanza inzi.Kwa kuwa tulikua wengi nikaita mwudumu.Nikamnong'oneza.Akachukua akaleta kingine bado kina Inzi.Nikasubiri wengine wakamaliza kula tukalipa tukasepa....

Very easy.
 
Mwanaume huna adabu kabisa, unafananisha mwanamke na soda jamani, ila siumii kwa kuwa najua una kibamia tena nyanya chungu, unatafuta bikra ili ujipozeeeeeee
 
Mkuu ulijimwambafai kupita kiasi hadi ukaharibu mood za watu, siku nyingine tumia ustaarabu maana kwa mawazo yake alijua anaelekea kupoteza kazi ukimsemea kwa meneja
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…