Nisamehe popote ulipo

Nisamehe popote ulipo

Hov
Habari zenu wakuu wa MMU. Ni matumaini yangu kuwa mko poa wote.

Lengo kubwa la kuanzisha huu Uzi ni kumuomba msamaha ex gf wangu tulieachana nae mwaka 2014.

Sio kwamba nataka turudiane bali ni kwa lile tukio lilotokea pale MSAMVU STAND baada ya kuwa tumegombana tukiwa Logde moja hivi nyuma ya msamvu.

Tuligombana baada ya kukuta nimemsevu mzinguaji na ukaamua kuninyima haki yangu( Papuchi) na kila nilipokuwa nataka kumshika au kumpapasa alipiga kelele na kupelekea wahudumu wa lodge kuja kutugongea mlango na kutushauri tuwe na ustaraabu kidogo tukiwa tunamega tunda kumbe hata sio kelele za kumega tunda.

Baada ya kama nusu saa hivi bila mafanikio yoyote niliondoka pale lodge kwa hasira sana nikielekea stand nipande daladala nirudi home.

Nikiwa natembea kwa unnyonge wa kunyimwa papuchi kisa tu kuseviwa MZINGUAJI nikasikia sauti toka nyuma ikiita mike..mike..Mike please naomba unisikilize.. kugeuka ni ANNA a.k.a madam. Bila hiana nikasimama ili nijue anataka kuniambia nini.

Akasogea karibu yangu ila akiwa amejawa na uso wa huzuni na majonzi..ndipo aliponiomba nimlipie nauli ya kurudi Dar na kunihakikishia kuwa hawakuwa na nauli hata shilingi moja nilifurahi kusikia hivyo nikakumbuka ule msemo kuwa "ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu"

Nikamwambia twende stendi usijali nitakulipia ingawa moyoni mwangu sikutaka nimlipie bali nimkomoe tu. Baada ya kufika stendi nikamwambia kana hapa ngoja nikatoe hela M-PESA nakuja ili tulipe nauli usepe.

Mtoto akanielewa na akawa ameketi kwenye kiti cha abiria katika kibanda cha kukatia tiketi kumbe ile ilikuwa ni gia ya kuondoka kwenda nyumbani na kumuacha pale. Alipiga sana simu nyingi lakini sikuona kama zina umhimu wowote kwangu maana alinidhalilisha sana.

Hivyo basi, mpaka leo hii sijui alifikaje mjini Daslam au alikuwa tu analeta ujanja wake ili nimlipie nauli wakati ameninyima papuchi.

Mwisho, najua sana uko humu wewe binti mzuri ANNA na unapendelea sana MMU. ukisoma thread hii nitafute kwa namba ileile tuombane msamaha vizuri.

Mike.

Hovyo kabisa,tena expert member! nani wa kuanza kuchosha akili na vidole vyake kutoa ushauri kwa ujinga huu,hujui ni kazi?
 
Hov


Hovyo kabisa,tena expert member! nani wa kuanza kuchosha akili na vidole vyake kutoa ushauri kwa ujinga huu,hujui ni kazi?
Wewe ni KE au ME?

Hakika kama ni ME basi utakuwa yule kaoge aliyehojiwa.

Umeandika maneno ya kike sana Mkuu.
 
Umenifurahisha kijana eti ulikua unadai haki yako., sa haki iko wap hapo akat uchi wake.,

Kuhusu kukiacha stand ulimfanyia bonge la surprise siku ingine atakua makini
Hahahah!

Nouma sana Mkuu..sina huruma na hawa viumbe maana wao ni hatari sana kuliko kitu chochote hapa duniani.

Walisababisha dhambi kipindi cha Adam mpaka Leo hii tunateseka kwa sabubu yao Mkuu!
 
ahaha lakini mbona kuna watu wanafanya makubwa na mabaya zaidi ya huyu.... bora amekiri kosa tu yaishe kiroho safi...

kunyimwa papuchi noma ujue... unaweza changanyikiwa
Siyo nouma tu ni hatari kwa afya Mkuu.

Unaweza changanyikiwa aisee!
 
Mbona Mimi enzi zangu nshatapeliwa Sana? Sijawahi kulipiza kisasi hata siku moja! Umeenda Mpaka hotelini uko nae na Mlikua mmeshaongea about a week or so na hio promise katoa yeye mwenyewe, mnafika mnachukua na kulipia room, mnaingia mnafika, unAjiandaa, unaanza utundu wako. Ghafla mwenzio anabadilika kama vile haelewi. Unabembeleza weee Matokeo yake unakua una buy time mtoke ili usionekane hujapewa. Si unajua kujishuku? Ukianza kuvaa nguo ili muagane anakujulisha kuwa hana nauli! Halafu kuna ile Pesa aliyokuomba kuna "vitu " anataka akanunuae! Dah, kiunyonge Sana unampa anakwambia haitoshi! Unajizuia usipandwe hasira, una mpa kisha hasemi hata asante. Mnavyotoka anakuomba ukamuache kituoni, unampakia, kwenye gari hamuongei, anakuuliza,. Mbona umenuna? Anakuomba msamaha kisha anaku promise next time!! Hahaahhaha unajiuliza, huyu mtu ni binadamu au jini? Ila huwa hatulipizi visasi, hio ndio maturity ya kiume na Law ya Hunter, amekosa leo, atapata kesho. No extra fighting,
hahahhahahha umenikumbusha mkasa mmoja hivi daaaaa ila mi nilimindi kinoma ila kimoyo moyo
 
Anyway thanks sibishani na mgonjwa


Siyo lazima kila thread utoe comment yako Mkuu!

Thread zingine unasoma tu unapotezea kama huna cha kuandika Mkuu.

BTW nashukuru nimetambua uwepo wako Mkuu.
 
Ila nyie wanaume sijui mna roho gani. Nilivyosoma hapa nikakumbuka 2011 kipindi hicho nimemaliza form six. nikaenda morogoro kwa rafiki angu. Siku moja tukawa tunatembea wakatokea wakaka wawili lecturers wa Mzumbe. Mmoja mzumbe ya moro nwingine mzumbe ya Mbeya. Huyo wa mbeya sasa akawa kama kanielewa mimi afu wa moro kamuelewa rafiki angu. Basi kuanzia pale tukawa tunachat na huyo kaka anaitwa Adam wa mzumbe ya mbeya. Mi sikua na mpango hata wa kutembea nae nilitaka awe rafiki tu. Mwanzoni alijifanya haelewi ila baadae akanielewa so tukawa kama marafiki dada na kaka. Kumbe mwenzangu bado alikua ana mpango wa kunigegeda bwana. Siku moja akanipigia cmu kuna mzigo wake uko moro nikamchukulie nimletee dar kuna mahali atanielekeza niupeleke. Nikamuuliza mzigo gani akakataa kuniambia akasema nisijali sio kitu kibaya kubeba nimsaidie tu. Huwa najali sana rafiki zangu na nilikua tu home basi nikaamua kwenda. Nikachukua elfu kumi ya nauli kwa mama mdogo nikaenda. Na nilimwambia sina hela akasema niende tu atakaenipa huo mzigo atanipatia na hela. Nikafika moro jion kama saa moja akamtuma driver mi najua ndo mwenye mzigo. Kufika driver akaniambia twende nikupeleke kuonana na huyo mtu. Tukaenda hotel moja hivi hata siijui jina kufika namkuta yule kaka. Nikamuuliza inakuaje uko huku na wew. Akasema aliniita vile Moro kunisurprise. Basi tukakaa muda wa kwenda kulala nikajua anachukua room mbili. Tukaenda lodge flani maeneo ya msamvu. Kufika room akasema nimsubiri akaniangalizie room yangu. Akarudi akasema amekosa nilale nae. Mi najijua sio mlaini kiviile nikamjibu sawa tutalala ila kesho narudi dar. Usiku alinisumbua sana basi tu alishindwa kunibaka. Asubuhi nimeamka hayupo na mizigo yake haipo. Akaja muhudumu akaniambia Adam kaondoka na kawaambia nakabidhi room. Nikampigia cmu yake haipokelewi mara ikawa haipatikani. Nikakaa mpaka saa tatu sioni dalili ya yeye kurudi. Kwenye bag nina elfu 5 tu ya kunifikisha ubungo. Kumbe kuna dada alimwagiza anipe elfu 5 ya nauli ya bus. Akaniletea nikaelekezwa msamvu nikaondoka. Nililia kuamini mtu afu akanitreat kama changudoa waliekubaliana biashara nikamzingua ndo maana akaamua kunikomoa kumbe hata neno mpenzi tulishalifuta. Huyo kaka mpaka leo namuombea mabaya yote yamkute na watoto wake wa kike wafanyiwe kama alichonifanyia mimi.
 
ooops i thought i a was stupid kumbe duuuh ww ndo famba aisee,,,m nilimgundua anacheat nikampeleka abood nikamlipia nikampa na chenchi inayobak yakumfikisha kwao nikadhan i was rude,ila kwa case yako i was gentle,next time dont do that
 
Ila nyie wanaume sijui mna roho gani. Nilivyosoma hapa nikakumbuka 2011 kipindi hicho nimemaliza form six. nikaenda morogoro kwa rafiki angu. Siku moja tukawa tunatembea wakatokea wakaka wawili lecturers wa Mzumbe. Mmoja mzumbe ya moro nwingine mzumbe ya Mbeya. Huyo wa mbeya sasa akawa kama kanielewa mimi afu wa moro kamuelewa rafiki angu. Basi kuanzia pale tukawa tunachat na huyo kaka anaitwa Adam wa mzumbe ya mbeya. Mi sikua na mpango hata wa kutembea nae nilitaka awe rafiki tu. Mwanzoni alijifanya haelewi ila baadae akanielewa so tukawa kama marafiki dada na kaka. Kumbe mwenzangu bado alikua ana mpango wa kunigegeda bwana. Siku moja akanipigia cmu kuna mzigo wake uko moro nikamchukulie nimletee dar kuna mahali atanielekeza niupeleke. Nikamuuliza mzigo gani akakataa kuniambia akasema nisijali sio kitu kibaya kubeba nimsaidie tu. Huwa najali sana rafiki zangu na nilikua tu home basi nikaamua kwenda. Nikachukua elfu kumi ya nauli kwa mama mdogo nikaenda. Na nilimwambia sina hela akasema niende tu atakaenipa huo mzigo atanipatia na hela. Nikafika moro jion kama saa moja akamtuma driver mi najua ndo mwenye mzigo. Kufika driver akaniambia twende nikupeleke kuonana na huyo mtu. Tukaenda hotel moja hivi hata siijui jina kufika namkuta yule kaka. Nikamuuliza inakuaje uko huku na wew. Akasema aliniita vile Moro kunisurprise. Basi tukakaa muda wa kwenda kulala nikajua anachukua room mbili. Tukaenda lodge flani maeneo ya msamvu. Kufika room akasema nimsubiri akaniangalizie room yangu. Akarudi akasema amekosa nilale nae. Mi najijua sio mlaini kiviile nikamjibu sawa tutalala ila kesho narudi dar. Usiku alinisumbua sana basi tu alishindwa kunibaka. Asubuhi nimeamka hayupo na mizigo yake haipo. Akaja muhudumu akaniambia Adam kaondoka na kawaambia nakabidhi room. Nikampigia cmu yake haipokelewi mara ikawa haipatikani. Nikakaa mpaka saa tatu sioni dalili ya yeye kurudi. Kwenye bag nina elfu 5 tu ya kunifikisha ubungo. Kumbe kuna dada alimwagiza anipe elfu 5 ya nauli ya bus. Akaniletea nikaelekezwa msamvu nikaondoka. Nililia kuamini mtu afu akanitreat kama changudoa waliekubaliana biashara nikamzingua ndo maana akaamua kunikomoa kumbe hata neno mpenzi tulishalifuta. Huyo kaka mpaka leo namuombea mabaya yote yamkute na watoto wake wa kike wafanyiwe kama alichonifanyia mimi.

Duuh pole aisee ndo ivo ingawa sio wanaume ote wapo ivyo
 
Ila nyie wanaume sijui mna roho gani. Nilivyosoma hapa nikakumbuka 2011 kipindi hicho nimemaliza form six. nikaenda morogoro kwa rafiki angu. Siku moja tukawa tunatembea wakatokea wakaka wawili lecturers wa Mzumbe. Mmoja mzumbe ya moro nwingine mzumbe ya Mbeya. Huyo wa mbeya sasa akawa kama kanielewa mimi afu wa moro kamuelewa rafiki angu. Basi kuanzia pale tukawa tunachat na huyo kaka anaitwa Adam wa mzumbe ya mbeya. Mi sikua na mpango hata wa kutembea nae nilitaka awe rafiki tu. Mwanzoni alijifanya haelewi ila baadae akanielewa so tukawa kama marafiki dada na kaka. Kumbe mwenzangu bado alikua ana mpango wa kunigegeda bwana. Siku moja akanipigia cmu kuna mzigo wake uko moro nikamchukulie nimletee dar kuna mahali atanielekeza niupeleke. Nikamuuliza mzigo gani akakataa kuniambia akasema nisijali sio kitu kibaya kubeba nimsaidie tu. Huwa najali sana rafiki zangu na nilikua tu home basi nikaamua kwenda. Nikachukua elfu kumi ya nauli kwa mama mdogo nikaenda. Na nilimwambia sina hela akasema niende tu atakaenipa huo mzigo atanipatia na hela. Nikafika moro jion kama saa moja akamtuma driver mi najua ndo mwenye mzigo. Kufika driver akaniambia twende nikupeleke kuonana na huyo mtu. Tukaenda hotel moja hivi hata siijui jina kufika namkuta yule kaka. Nikamuuliza inakuaje uko huku na wew. Akasema aliniita vile Moro kunisurprise. Basi tukakaa muda wa kwenda kulala nikajua anachukua room mbili. Tukaenda lodge flani maeneo ya msamvu. Kufika room akasema nimsubiri akaniangalizie room yangu. Akarudi akasema amekosa nilale nae. Mi najijua sio mlaini kiviile nikamjibu sawa tutalala ila kesho narudi dar. Usiku alinisumbua sana basi tu alishindwa kunibaka. Asubuhi nimeamka hayupo na mizigo yake haipo. Akaja muhudumu akaniambia Adam kaondoka na kawaambia nakabidhi room. Nikampigia cmu yake haipokelewi mara ikawa haipatikani. Nikakaa mpaka saa tatu sioni dalili ya yeye kurudi. Kwenye bag nina elfu 5 tu ya kunifikisha ubungo. Kumbe kuna dada alimwagiza anipe elfu 5 ya nauli ya bus. Akaniletea nikaelekezwa msamvu nikaondoka. Nililia kuamini mtu afu akanitreat kama changudoa waliekubaliana biashara nikamzingua ndo maana akaamua kunikomoa kumbe hata neno mpenzi tulishalifuta. Huyo kaka mpaka leo namuombea mabaya yote yamkute na watoto wake wa kike wafanyiwe kama alichonifanyia mimi.
Pole mzigua90

Ni PM nikwambie jinsi ya kulipiza kisasi.
 
ooops i thought i a was stupid kumbe duuuh ww ndo famba aisee,,,m nilimgundua anacheat nikampeleka abood nikamlipia nikampa na chenchi inayobak yakumfikisha kwao nikadhan i was rude,ila kwa case yako i was gentle,next time dont do that
Fresh Mkuu!
 
Dah... Kuwa na amani mkuu....Tulimlipia nauli hata nusu saa haikufika.... Yuko poa tu.......unajua yeye alikusave jina gani????
 
Dah... Kuwa na amani mkuu....Tulimlipia nauli hata nusu saa haikufika.... Yuko poa tu.......unajua yeye alikusave jina gani????
Pamoja Mkuu;

Sihitaji kujua alinisave jina gani Mkuu.
 
Back
Top Bottom