Nisamehe popote ulipo

Nisamehe popote ulipo

Mhhh naye, kusafiri kote toka dar mpaka moro halafu anamnyima mtu papuchi, alifuata nini sasa???
 
Duhh!!!!..wewe ni zaidi ya Al-shabab aisee.....unastahili kufanywa lolote baya paka wa kizungu wewe usiyetaka kula vibichi,unaetaka ulale kitandani,unaetaka unye kwenye unga...halafu wewe.
 
Mbona mie nishawahi kumyima mtu papuchi tena kwake nyumbani kwake na wakati wakuondoka japo alikasirika ila alihakikisha nafika home na hela alinipa ya kutosha huku anacheka japo kua tokea sikuile hakunipigia wala
 
Ni heri ungesave kwa majina yake hukupaswa kumtesa kwa kiwango hiki

Any way badilisha hii tabia thamini utu wa mtu
 
Wanaitwa wanaume wa mikoani

Sijui nani kawaambia mapenzi ni uwanja wa vita
 
Nakufundisha Kijana:

Kiuanaume kwanza ungejiuliza ni kwanini amekunyima? Hapo ungegundua kosa ni lako wewe kumwita mzinguaji wakati keshaingia hadi chumbani.

PILI, ungekaa naye umbembeleze alainike upige mzigo...na nauli umpe ya kutosha tu.
 
Duhh!!!!..wewe ni zaidi ya Al-shabab aisee.....unastahili kufanywa lolote baya paka wa kizungu wewe usiyetaka kula vibichi,unaetaka ulale kitandani,unaetaka unye kwenye unga...halafu wewe.
Mkuu una maneno mengi kama mtoto wa mchepuko wangu
 
Mhhh naye, kusafiri kote toka dar mpaka moro halafu anamnyima mtu papuchi, alifuata nini sasa???
Ahsante Mkuu! Alizingua sana.

Sema tu basi hawajui kuchunguza na kutoa maoni sahihi wanabaki kushambulia mtu
 
Mbona mie nishawahi kumyima mtu papuchi tena kwake nyumbani kwake na wakati wakuondoka japo alikasirika ila alihakikisha nafika home na hela alinipa ya kutosha huku anacheka japo kua tokea sikuile hakunipigia wala
Ni kwa sababu siku zingine ulikuwa ukinipa vizuri
 
Nakufundisha Kijana:

Kiuanaume kwanza ungejiuliza ni kwanini amekunyima? Hapo ungegundua kosa ni lako wewe kumwita mzinguaji wakati keshaingia hadi chumbani.

PILI, ungekaa naye umbembeleze alainike upige mzigo...na nauli umpe ya kutosha tu.
Sikutaka kubembeleza sana maana baada ya kuzingua pale pale nikamcheki mtoto mwingine anaitwa WARIDI alikuwa anasoma Jordan University nikaenda kupunguza maumivu ya kunyimwa papuchi Mkuu!
 
Mh ila malipo ni hapa hapa ndugu,kama sio dadayako basi ni mdogowako ila ulifanya vibaya sana ndugu
 
Tabia za kusave wasichana majina kama haya ni kwa wanaume sote ila wenzio huwa tunayaweka sawa kila tunapowakaribia walengwa(edit hilo jina na kuweka my lovely wife).
Ila wewe Jamaa ni katili mno ,wanawake ni viumbe dhaifu sana hutakiwi kuwatreat hivyo.Kwanza amekukasirisha kwa kutokupa ulichotaka lakini kutokana na mapungufu yake ameona wewe bado ni msaada kwake,huoni kama ulimweka katika mazingira hatarishi sana?
Shame On You Brother.
 
Tabia za kusave wasichana majina kama haya ni kwa wanaume sote ila wenzio huwa tunayaweka sawa kila tunapowakaribia walengwa(edit hilo jina na kuweka my lovely wife).
Ila wewe Jamaa ni katili mno ,wanawake ni viumbe dhaifu sana hutakiwi kuwatreat hivyo.Kwanza amekukasirisha kwa kutokupa ulichotaka lakini kutokana na mapungufu yake ameona wewe bado ni msaada kwake,huoni kama ulimweka katika mazingira hatarishi sana?
Shame On You Brother.
Words!
 
Mh ila malipo ni hapa hapa ndugu,kama sio dadayako basi ni mdogowako ila ulifanya vibaya sana ndugu
Mungu atasamehe Mkuu!

Pia nina imani kuwa mhusika atakuwa kasamehe tayari!
 
ahaha lakini mbona kuna watu wanafanya makubwa na mabaya zaidi ya huyu.... bora amekiri kosa tu yaishe kiroho safi...

kunyimwa papuchi noma ujue... unaweza changanyikiwa
 
Umenifurahisha kijana eti ulikua unadai haki yako., sa haki iko wap hapo akat uchi wake.,

Kuhusu kukiacha stand ulimfanyia bonge la surprise siku ingine atakua makini
 
Sikutaka kubembeleza sana maana baada ya kuzingua pale pale nikamcheki mtoto mwingine anaitwa WARIDI alikuwa anasoma Jordan University nikaenda kupunguza maumivu ya kunyimwa papuchi Mkuu!
ukacheat na bado ukamnyima nauli... we noma
 
Back
Top Bottom