Nisamehe popote ulipo

Alikuwa na lengo la kukuuwa...Kuna jamaa alipoteza maisha kwa kesi kama hiyo st agustine, Mwanza.
 
Is just "an"illution(stupid modderfucking pust)
Teh teh teh

Thanks a lot!

U have revealed your ignorance.

Where did u pick your English lesson?

U 'av to find Rasi simba.
 
Zero wisdom
 
Nilishasema humu, "Nyie wadada mara nyingine muangalie na wanaume wa kudate nao"
 
Pumbavu mkubwa wewe. anna ni dadangu.kweli wewe ndo ulimfanyia ulimtesa sana dadangu.ameshaolewa na amempata mwanaume anajielewa.
 
Mwanamke: We mwanaume gani, katika wanaume na we unajihesabu umo, mpuuzi ,loofa tu wewe, hayawani mkubwa,muone vile, boyaa wa analog wewe, hebu niondokee kwanza.

Jamii: Kimyaaaaaa

Mwanaume: Unajua we mwanamke unazingua

Jamii: Hapana hazingui, we mwanaume mkatili sana, hujui haki za binadamu, amekufanya nn mpaka umuite mzinguaji, shika adabu yako, usiwe mwana haramu wewe, badilika wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…