nisaidieni

chen

Member
Feb 12, 2012
64
7
nina tatizo la kuchelewa kumaliza tendo la ndoa natumia zaidi ya dk 30 kumaliza na nina uwezo wa kufanya tendo ucku kucha bila kuchoka.nahisi hii ni tatizo kwan na mbore girl friend wangu.nisaidien nifanye nini ili hili tatizo lishe
 
huu uzi huku si mahali pake post kwenye jukwa la mapenzi kule utapata ushauri wa kutosha
 
Back
Top Bottom