Mkuu hawa wabinti wavumilivu sana,pia kitandani wako fiti sana pia hawako tayari kuona mwanaume ananuna kwani wanajua namna ganiya kucare kwa ujumla mie nnae mpaka muda huu na cjajuta kua nae ingawa ni miaka 3 sasa tupo kwenye relationship,mambo mengne ni kuelekezana kwani hakuna binadamu aliekamilika