Nisaidieni wakuu

Nisaidieni wakuu

Yani mtu anarudia trna na tena unavumilia kisingizio moyo?!

Kuendekeza ujinga ndo kitu watu wengine hatujaumbiwa

Sikumbuki mara ya mwisho nmemlilia mwanaume ni lini.....

Maamuzi ni yako maana tunaweza kushauri achana nae kumbe ukibembelezwa mahaba yanarudi utatuona sisi tulikua tunakupigia kelele

Same haujuwi lini umewahi kuingia kwenye serious relationship...kama haujui kuvumilia na kumbadilisha mtu kalagha bao...utaendelea kudanga mpaka mwisho wa safari yako hapa duniani
 
Same haujuwi lini umewahi kuingia kwenye serious relationship...kama haujui kuvumilia na kumbadilisha mtu kalagha bao...utaendelea kudanga mpaka mwisho wa safari yako hapa duniani
Kama navyodanga na ww ss hivi shubaamiti

Unahisi kila mtu anapata mahaba ya manyanyaso eeh
Go buy a brain halafu uje nikueleze.
Si kila mtu anapata mtu asiejielewa na kutoa mahaba ya kichoyo
 
Kama navyodanga na ww ss hivi shubaamiti

Unahisi kila mtu anapata mahaba ya manyanyaso eeh
Go buy a brain halafu uje nikueleze.
Si kila mtu anapata mtu asiejielewa na kutoa mahaba ya kichoyo
Hahahaahhahahah...naona kitaulo kimekupapasa vizuri...povu la sabuni ya magaji limekutoka...kweli nimeamini unastress mno...pole mpaka ndo maisha lakini..
 
Jinsi ya kuachana nae


Sent from my iPhone using JamiiForums
Jipe muda na ukubaliane na matokeo. Usipende kumfanya oxygen ndo maana anakutesa maana anajua huna option zaidi yake.
Ukiendelea kumg'ang'ania ni kama unaharalisha tabia zake za ovyo. Unakomaa naye as if amekuoa, kama anakutreat hivi vipi ingekuwa ni ndoa au mna watoto.
Mi sikushauri kwamba achana nae au nenda nae. We sikiliza nafsi yako inakwambia nini, shirikisha na akili. Jibu unalo lakini unajifanya hutaki kuamini. Jibu unalo wewe mwenyewe fata hilohilo.
 
Hahahaahhahahah...naona kitaulo kimekupapasa vizuri...povu la sabuni ya magaji limekutoka...kweli nimeamini unastress mno...pole mpaka ndo maisha lakini..
Mi nabishana na boys ss ww ndo aina ya vijana mnaosumbua wadada wa watu jinga ww
 
Mi nabishana na boys ss ww ndo aina ya vijana mnaosumbua wadada wa watu jinga ww

Kama wewe unavyosumbua vijana eeehhh...wadada wakisumbuka ujue wayataka wenyewe...wewe pambana na hali yako...kama wavutiwa na mimi njoo PM tuyajenge...kuwa mpole mrembo
 
Eti umuache huyu kijana... Una sound kama big mama

au mwanamke uliemzidi sana umri huyo kijana wako

sasa huyo kijana wako nadhani usimuache maana ktk

mapenzi Kuachana haijawahi kuwa solution,kama umeshindwa

tafuta tatizo ukalitatua na solution inayokuja kichwani mwako ni "kumuacha"

nakuhakikishia wewe ni wale wale tu,hata uwe na nani bado mtaachana.

kwasasa hivi Pambana na kijana wako,hamna ushauri ninaotoaga kwa wapenzi.
 
Kama wewe unavyosumbua vijana eeehhh...wadada wakisumbuka ujue wayataka wenyewe...wewe pambana na hali yako...kama wavutiwa na mimi njoo PM tuyajenge...kuwa mpole mrembo
Kumbe unajipigia promo
 
Pole sana big cc...mapenzi sometimes yanazingua mno tena sanaaa...ukiyashupalia unaweza ukapusuka mishipa ya shingo...wewe hiyo mwana nenda naye aste aste...kama unajua unawivu wa kupitiliza jiandae kupata corona ya mapenzi...
Kama haumuelewi paki pembeni wacha madanga yafanye kazi yao..ila swali la kujiuliza unaweza kusonga bila yeye...usije ukatuletea mabandiko mengine ooohh maisha yamenishinda oohh kila mwanaume ananifanyia visa....jambo la kujua wanaume wote wamezaliwa wala hawajashushwa kutoka mbinguni...ukileta malalamiko mi nitakutakia R.I.P tu...

Haya amka ukanywe chai nzito...nenda kaoge...tafuta shoga yako mpenda umbea mkajazane sumu...mwishowe siku imeisha...akirudi huyo jamaa...mpe sex tamu mpaka astaajabu...

Ovaaaaaaaa

Asante kwa ushauri


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Same haujuwi lini umewahi kuingia kwenye serious relationship...kama haujui kuvumilia na kumbadilisha mtu kalagha bao...utaendelea kudanga mpaka mwisho wa safari yako hapa duniani

Umenena Vyema. Asikwambie mtu serious relationship ni kitu kingine sikia tu kwa mtu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Eti umuache huyu kijana... Una sound kama big mama

au mwanamke uliemzidi sana umri huyo kijana wako

sasa huyo kijana wako nadhani usimuache maana ktk

mapenzi Kuachana haijawahi kuwa solution,kama umeshindwa

tafuta tatizo ukalitatua na solution inayokuja kichwani mwako ni "kumuacha"

nakuhakikishia wewe ni wale wale tu,hata uwe na nani bado mtaachana.

kwasasa hivi Pambana na kijana wako,hamna ushauri ninaotoaga kwa wapenzi.

Kanizidi miaka 4 uwe unauliza kabla hujaandika venye kichwa inakutuma



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari za jumamosi wakuu
Nikiwa bado miguu imekufa ganzi nimeshindwa kutoka kitandani namuwaza huyu mwanaume wangu ambaye nilishaweka bandiko hapa kwa ajili yake.

Jana aliniaga anatoka na dada yake mmoja na shemeji yake kweli wakatoka na picha nikatumiwa (naishi mkoa tofauti na alipo)

Ilipofika saa 6 hivi akanipigia akanambia wapo club simu ikakata. Nikaja kumpigia baada ya kama Dk. 10 akapokea simu mwanamke akanambia Kwa nn nampigia bwanake simu usiku huo. Simu ikakatwa

Baada ya Dk. 20 jamaa anapiga namuuliza umempa nani simu yako anashangaa na kuwauliza Dadaake na shemeji yake kuna mtu kapokea simu yangu (nasikia wanajibu hatujapokea)

Tumegombana hapo ila sauti ya mwanamke nikagundua ni shemeji yake (mke wa Kaka yake) aliyepokea simu lafudhi yake maana siyo mwafrika

Tumeongea hapo wee akanambia anataka awapige apo washalewa wote nikamwambia achana nao rudini nyumbani

Toka hiyo jana simu haipatikani hadi sasa
#Nnachoomba ushauri nimuache huyu Kijana au niwe nae kwa starehe tu maana ndo amefocus huko kwenye starehe sana
Najua hapa akiwasha simu ataanza kulia ila haya mapenzi siyawezi kabisa wakubwa nishaurini nifanye nini



Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyo achana nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za jumamosi wakuu
Nikiwa bado miguu imekufa ganzi nimeshindwa kutoka kitandani namuwaza huyu mwanaume wangu ambaye nilishaweka bandiko hapa kwa ajili yake.

Jana aliniaga anatoka na dada yake mmoja na shemeji yake kweli wakatoka na picha nikatumiwa (naishi mkoa tofauti na alipo)

Ilipofika saa 6 hivi akanipigia akanambia wapo club simu ikakata. Nikaja kumpigia baada ya kama Dk. 10 akapokea simu mwanamke akanambia Kwa nn nampigia bwanake simu usiku huo. Simu ikakatwa

Baada ya Dk. 20 jamaa anapiga namuuliza umempa nani simu yako anashangaa na kuwauliza Dadaake na shemeji yake kuna mtu kapokea simu yangu (nasikia wanajibu hatujapokea)

Tumegombana hapo ila sauti ya mwanamke nikagundua ni shemeji yake (mke wa Kaka yake) aliyepokea simu lafudhi yake maana siyo mwafrika

Tumeongea hapo wee akanambia anataka awapige apo washalewa wote nikamwambia achana nao rudini nyumbani

Toka hiyo jana simu haipatikani hadi sasa
#Nnachoomba ushauri nimuache huyu Kijana au niwe nae kwa starehe tu maana ndo amefocus huko kwenye starehe sana
Najua hapa akiwasha simu ataanza kulia ila haya mapenzi siyawezi kabisa wakubwa nishaurini nifanye nini



Sent from my iPhone using JamiiForums
Hii ni Ile Jamii Forum iliyonipa ushawishi wa kujiunga au ni nyingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za jumamosi wakuu
Nikiwa bado miguu imekufa ganzi nimeshindwa kutoka kitandani namuwaza huyu mwanaume wangu ambaye nilishaweka bandiko hapa kwa ajili yake.

Jana aliniaga anatoka na dada yake mmoja na shemeji yake kweli wakatoka na picha nikatumiwa (naishi mkoa tofauti na alipo)

Ilipofika saa 6 hivi akanipigia akanambia wapo club simu ikakata. Nikaja kumpigia baada ya kama Dk. 10 akapokea simu mwanamke akanambia Kwa nn nampigia bwanake simu usiku huo. Simu ikakatwa

Baada ya Dk. 20 jamaa anapiga namuuliza umempa nani simu yako anashangaa na kuwauliza Dadaake na shemeji yake kuna mtu kapokea simu yangu (nasikia wanajibu hatujapokea)

Tumegombana hapo ila sauti ya mwanamke nikagundua ni shemeji yake (mke wa Kaka yake) aliyepokea simu lafudhi yake maana siyo mwafrika

Tumeongea hapo wee akanambia anataka awapige apo washalewa wote nikamwambia achana nao rudini nyumbani

Toka hiyo jana simu haipatikani hadi sasa
#Nnachoomba ushauri nimuache huyu Kijana au niwe nae kwa starehe tu maana ndo amefocus huko kwenye starehe sana
Najua hapa akiwasha simu ataanza kulia ila haya mapenzi siyawezi kabisa wakubwa nishaurini nifanye nini



Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama huna sababu ya msingi kumuacha usimuache, kama hakuna sababu ya msingi kuendelea nae usiendelee nae.

Sababu ya msingi inakufanya ujiamini na uweze justify maamuzi yako, kuona red flags kwa jamaa ni suala jingine na kuachana naye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom