Habari za jumamosi wakuu
Nikiwa bado miguu imekufa ganzi nimeshindwa kutoka kitandani namuwaza huyu mwanaume wangu ambaye nilishaweka bandiko hapa kwa ajili yake.
Jana aliniaga anatoka na dada yake mmoja na shemeji yake kweli wakatoka na picha nikatumiwa (naishi mkoa tofauti na alipo)
Ilipofika saa 6 hivi akanipigia akanambia wapo club simu ikakata. Nikaja kumpigia baada ya kama Dk. 10 akapokea simu mwanamke akanambia Kwa nn nampigia bwanake simu usiku huo. Simu ikakatwa
Baada ya Dk. 20 jamaa anapiga namuuliza umempa nani simu yako anashangaa na kuwauliza Dadaake na shemeji yake kuna mtu kapokea simu yangu (nasikia wanajibu hatujapokea)
Tumegombana hapo ila sauti ya mwanamke nikagundua ni shemeji yake (mke wa Kaka yake) aliyepokea simu lafudhi yake maana siyo mwafrika
Tumeongea hapo wee akanambia anataka awapige apo washalewa wote nikamwambia achana nao rudini nyumbani
Toka hiyo jana simu haipatikani hadi sasa
#Nnachoomba ushauri nimuache huyu Kijana au niwe nae kwa starehe tu maana ndo amefocus huko kwenye starehe sana
Najua hapa akiwasha simu ataanza kulia ila haya mapenzi siyawezi kabisa wakubwa nishaurini nifanye nini
Sent from my iPhone using JamiiForums
moyo si unao wako, ule wake muachie kabla na moyo nao haujafa ganzi unaujazia mwili sumu za kujitakia bure na wanaume wapo wengiThe issues siyo mabaharia, tatizo ni moyo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Long distance love by Jahmiel.
Out of sight, out of mind!
Kama hamjaoana kuna mmoja ataumizwa na haya mahusiano.
Mahusiano mengi yamevunjika kwa sababu ya umbali wa wahusika.
Muda si mrefu Utasikia msela kaoa kabisa anaishi na mwanamke.
Sent using Jamii Forums mobile app

YaweZekana wewe una muhitaji kuliko yeye anavyokuhitaji. Daaaah kama nakuona vile pole sana mpendwa Em move on mama.
Yanini uhangaike na mahusiano yasiyo na uhusiano?

Hujawahi kupenda wewe.Yani mtu anarudia trna na tena unavumilia kisingizio moyo?!
Kuendekeza ujinga ndo kitu watu wengine hatujaumbiwa
Sikumbuki mara ya mwisho nmemlilia mwanaume ni lini.....
Maamuzi ni yako maana tunaweza kushauri achana nae kumbe ukibembelezwa mahaba yanarudi utatuona sisi tulikua tunakupigia kelele
The issues siyo mabaharia, tatizo ni moyo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Jinsi ya kuachana nae
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yani mtu anarudia trna na tena unavumilia kisingizio moyo?!
Kuendekeza ujinga ndo kitu watu wengine hatujaumbiwa
Sikumbuki mara ya mwisho nmemlilia mwanaume ni lini.....
Maamuzi ni yako maana tunaweza kushauri achana nae kumbe ukibembelezwa mahaba yanarudi utatuona sisi tulikua tunakupigia kelele

Akiambukizwa corona utakutafuta.Habari za jumamosi wakuu
Nikiwa bado miguu imekufa ganzi nimeshindwa kutoka kitandani namuwaza huyu mwanaume wangu ambaye nilishaweka bandiko hapa kwa ajili yake.
Jana aliniaga anatoka na dada yake mmoja na shemeji yake kweli wakatoka na picha nikatumiwa (naishi mkoa tofauti na alipo)
Ilipofika saa 6 hivi akanipigia akanambia wapo club simu ikakata. Nikaja kumpigia baada ya kama Dk. 10 akapokea simu mwanamke akanambia Kwa nn nampigia bwanake simu usiku huo. Simu ikakatwa
Baada ya Dk. 20 jamaa anapiga namuuliza umempa nani simu yako anashangaa na kuwauliza Dadaake na shemeji yake kuna mtu kapokea simu yangu (nasikia wanajibu hatujapokea)
Tumegombana hapo ila sauti ya mwanamke nikagundua ni shemeji yake (mke wa Kaka yake) aliyepokea simu lafudhi yake maana siyo mwafrika
Tumeongea hapo wee akanambia anataka awapige apo washalewa wote nikamwambia achana nao rudini nyumbani
Toka hiyo jana simu haipatikani hadi sasa
#Nnachoomba ushauri nimuache huyu Kijana au niwe nae kwa starehe tu maana ndo amefocus huko kwenye starehe sana
Najua hapa akiwasha simu ataanza kulia ila haya mapenzi siyawezi kabisa wakubwa nishaurini nifanye nini
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa hiyo wapo vijana tayari kuchukua nafasi? Dah vijana wana haraka sana!!!Samahani sana mnaonifata pm am not available kwa sasa naomba sana kama una ushauri nishauri hapa. Asanteni
Sent from my iPhone using JamiiForums
Pole sana big cc...mapenzi sometimes yanazingua mno tena sanaaa...ukiyashupalia unaweza ukapusuka mishipa ya shingo...wewe hiyo mwana nenda naye aste aste...kama unajua unawivu wa kupitiliza jiandae kupata corona ya mapenzi...Habari za jumamosi wakuu
Nikiwa bado miguu imekufa ganzi nimeshindwa kutoka kitandani namuwaza huyu mwanaume wangu ambaye nilishaweka bandiko hapa kwa ajili yake.
Jana aliniaga anatoka na dada yake mmoja na shemeji yake kweli wakatoka na picha nikatumiwa (naishi mkoa tofauti na alipo)
Ilipofika saa 6 hivi akanipigia akanambia wapo club simu ikakata. Nikaja kumpigia baada ya kama Dk. 10 akapokea simu mwanamke akanambia Kwa nn nampigia bwanake simu usiku huo. Simu ikakatwa
Baada ya Dk. 20 jamaa anapiga namuuliza umempa nani simu yako anashangaa na kuwauliza Dadaake na shemeji yake kuna mtu kapokea simu yangu (nasikia wanajibu hatujapokea)
Tumegombana hapo ila sauti ya mwanamke nikagundua ni shemeji yake (mke wa Kaka yake) aliyepokea simu lafudhi yake maana siyo mwafrika
Tumeongea hapo wee akanambia anataka awapige apo washalewa wote nikamwambia achana nao rudini nyumbani
Toka hiyo jana simu haipatikani hadi sasa
#Nnachoomba ushauri nimuache huyu Kijana au niwe nae kwa starehe tu maana ndo amefocus huko kwenye starehe sana
Najua hapa akiwasha simu ataanza kulia ila haya mapenzi siyawezi kabisa wakubwa nishaurini nifanye nini
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sema kupenda usipopendwaHujawahi kupenda wewe.
God save us