Nisaidieni wakuu

Nisaidieni wakuu

Pole pole ndo changamoto za mahusiano.
 
umukagame hebu acha kulia lia,,, njoo kwangu achana na huyo pasua kchwa

NB:uwe mtu unaependa issue za biashara na siyo kuwaza mapenz mda wote.
Habari za jumamosi wakuu
Nikiwa bado miguu imekufa ganzi nimeshindwa kutoka kitandani namuwaza huyu mwanaume wangu ambaye nilishaweka bandiko hapa kwa ajili yake.

Jana aliniaga anatoka na dada yake mmoja na shemeji yake kweli wakatoka na picha nikatumiwa (naishi mkoa tofauti na alipo)

Ilipofika saa 6 hivi akanipigia akanambia wapo club simu ikakata. Nikaja kumpigia baada ya kama Dk. 10 akapokea simu mwanamke akanambia Kwa nn nampigia bwanake simu usiku huo. Simu ikakatwa

Baada ya Dk. 20 jamaa anapiga namuuliza umempa nani simu yako anashangaa na kuwauliza Dadaake na shemeji yake kuna mtu kapokea simu yangu (nasikia wanajibu hatujapokea)

Tumegombana hapo ila sauti ya mwanamke nikagundua ni shemeji yake (mke wa Kaka yake) aliyepokea simu lafudhi yake maana siyo mwafrika

Tumeongea hapo wee akanambia anataka awapige apo washalewa wote nikamwambia achana nao rudini nyumbani

Toka hiyo jana simu haipatikani hadi sasa
#Nnachoomba ushauri nimuache huyu Kijana au niwe nae kwa starehe tu maana ndo amefocus huko kwenye starehe sana
Najua hapa akiwasha simu ataanza kulia ila haya mapenzi siyawezi kabisa wakubwa nishaurini nifanye nini



Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The issues siyo mabaharia, tatizo ni moyo


Sent from my iPhone using JamiiForums
moyo si unao wako, ule wake muachie kabla na moyo nao haujafa ganzi unaujazia mwili sumu za kujitakia bure na wanaume wapo wengi
 
Long distance love by Jahmiel.

Out of sight, out of mind!

Kama hamjaoana kuna mmoja ataumizwa na haya mahusiano.
Mahusiano mengi yamevunjika kwa sababu ya umbali wa wahusika.

Muda si mrefu Utasikia msela kaoa kabisa anaishi na mwanamke.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama angeoa ingekuwa bora zaidi kwangu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
YaweZekana wewe una muhitaji kuliko yeye anavyokuhitaji. Daaaah kama nakuona vile pole sana mpendwa Em move on mama.
Yanini uhangaike na mahusiano yasiyo na uhusiano?

Ananihitaji pia najua lakini


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Samahani sana mnaonifata pm am not available kwa sasa naomba sana kama una ushauri nishauri hapa. Asanteni


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yani mtu anarudia trna na tena unavumilia kisingizio moyo?!

Kuendekeza ujinga ndo kitu watu wengine hatujaumbiwa

Sikumbuki mara ya mwisho nmemlilia mwanaume ni lini.....

Maamuzi ni yako maana tunaweza kushauri achana nae kumbe ukibembelezwa mahaba yanarudi utatuona sisi tulikua tunakupigia kelele
Hujawahi kupenda wewe.

God save us
 
Sasa hapo tukushauri nini bibie! Kila kitu kipo wazi, sema na nafsi yako! Ikiwa unaweza tabu kaa, ikiwa unaamini anaweza kubadilika mpe muda, ikiwa unaona miyeyusho endelea na maisha mengine km yeye sio wa kwanza hawez kuwa wa mwisho! Uraiani wapo raia kibao wanaoweza kukupa penzi stahiki!

Kusoma uzi wako ikanibidi nichungulie umejiunga lini na una umri gani!! Dada yangu una miaka 29 lakini naona ulichokiandika hapa alipaswa aandike wa miaka 20 hivi. Samahani km nitakuwa nimekukwaza!

Changanya zako na ya kuelezwa ukweli uwe mchungu kumeza, na uwe mtamu kutema.

Sitaki kuamini akili yako haijakupa jibu sahihi, ila wewe unataka kuuendekeza moyo wako!

Ngoja nimalizie chai yangu na kitumbua hapa kwa mama atupele( kula ujaze tumbo restaurant )
 
Yani mtu anarudia trna na tena unavumilia kisingizio moyo?!

Kuendekeza ujinga ndo kitu watu wengine hatujaumbiwa

Sikumbuki mara ya mwisho nmemlilia mwanaume ni lini.....

Maamuzi ni yako maana tunaweza kushauri achana nae kumbe ukibembelezwa mahaba yanarudi utatuona sisi tulikua tunakupigia kelele

Daah Kwahiyo hata Mimi huwezi kunililia fresh Tu
 
Habari za jumamosi wakuu
Nikiwa bado miguu imekufa ganzi nimeshindwa kutoka kitandani namuwaza huyu mwanaume wangu ambaye nilishaweka bandiko hapa kwa ajili yake.

Jana aliniaga anatoka na dada yake mmoja na shemeji yake kweli wakatoka na picha nikatumiwa (naishi mkoa tofauti na alipo)

Ilipofika saa 6 hivi akanipigia akanambia wapo club simu ikakata. Nikaja kumpigia baada ya kama Dk. 10 akapokea simu mwanamke akanambia Kwa nn nampigia bwanake simu usiku huo. Simu ikakatwa

Baada ya Dk. 20 jamaa anapiga namuuliza umempa nani simu yako anashangaa na kuwauliza Dadaake na shemeji yake kuna mtu kapokea simu yangu (nasikia wanajibu hatujapokea)

Tumegombana hapo ila sauti ya mwanamke nikagundua ni shemeji yake (mke wa Kaka yake) aliyepokea simu lafudhi yake maana siyo mwafrika

Tumeongea hapo wee akanambia anataka awapige apo washalewa wote nikamwambia achana nao rudini nyumbani

Toka hiyo jana simu haipatikani hadi sasa
#Nnachoomba ushauri nimuache huyu Kijana au niwe nae kwa starehe tu maana ndo amefocus huko kwenye starehe sana
Najua hapa akiwasha simu ataanza kulia ila haya mapenzi siyawezi kabisa wakubwa nishaurini nifanye nini



Sent from my iPhone using JamiiForums
Akiambukizwa corona utakutafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani sana mnaonifata pm am not available kwa sasa naomba sana kama una ushauri nishauri hapa. Asanteni


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa hiyo wapo vijana tayari kuchukua nafasi? Dah vijana wana haraka sana!!!
 
Habari za jumamosi wakuu
Nikiwa bado miguu imekufa ganzi nimeshindwa kutoka kitandani namuwaza huyu mwanaume wangu ambaye nilishaweka bandiko hapa kwa ajili yake.

Jana aliniaga anatoka na dada yake mmoja na shemeji yake kweli wakatoka na picha nikatumiwa (naishi mkoa tofauti na alipo)

Ilipofika saa 6 hivi akanipigia akanambia wapo club simu ikakata. Nikaja kumpigia baada ya kama Dk. 10 akapokea simu mwanamke akanambia Kwa nn nampigia bwanake simu usiku huo. Simu ikakatwa

Baada ya Dk. 20 jamaa anapiga namuuliza umempa nani simu yako anashangaa na kuwauliza Dadaake na shemeji yake kuna mtu kapokea simu yangu (nasikia wanajibu hatujapokea)

Tumegombana hapo ila sauti ya mwanamke nikagundua ni shemeji yake (mke wa Kaka yake) aliyepokea simu lafudhi yake maana siyo mwafrika

Tumeongea hapo wee akanambia anataka awapige apo washalewa wote nikamwambia achana nao rudini nyumbani

Toka hiyo jana simu haipatikani hadi sasa
#Nnachoomba ushauri nimuache huyu Kijana au niwe nae kwa starehe tu maana ndo amefocus huko kwenye starehe sana
Najua hapa akiwasha simu ataanza kulia ila haya mapenzi siyawezi kabisa wakubwa nishaurini nifanye nini



Sent from my iPhone using JamiiForums
Pole sana big cc...mapenzi sometimes yanazingua mno tena sanaaa...ukiyashupalia unaweza ukapusuka mishipa ya shingo...wewe hiyo mwana nenda naye aste aste...kama unajua unawivu wa kupitiliza jiandae kupata corona ya mapenzi...
Kama haumuelewi paki pembeni wacha madanga yafanye kazi yao..ila swali la kujiuliza unaweza kusonga bila yeye...usije ukatuletea mabandiko mengine ooohh maisha yamenishinda oohh kila mwanaume ananifanyia visa....jambo la kujua wanaume wote wamezaliwa wala hawajashushwa kutoka mbinguni...ukileta malalamiko mi nitakutakia R.I.P tu...

Haya amka ukanywe chai nzito...nenda kaoge...tafuta shoga yako mpenda umbea mkajazane sumu...mwishowe siku imeisha...akirudi huyo jamaa...mpe sex tamu mpaka astaajabu...

Ovaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom