clefting
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 222
- 389
Salaam,
Kuna rafiki yangu tangu wa toka utotoni lakin tulikuja kutengengana katika harakati za kutafuta maisha na hatujawasiliana kama mwaka hivi umepita.
Sasa jana kanicheki WhatsApp akanitumia picha ya kidonge akaniambia amevikuta kwenye mkoba wa demu wake, kutokana wasiwasi wa hivyo vidonge akaamua ku-google ARV akaona vinafanana, akaamua kunicheki maana mimi ni mtaalamu wa hayo mambo.
Mimi kukicheki ni ARVs (TLD) yenyewe. Akanipigia simu nikaongea naye ikabidi nimdanganye kwamba sio zenyewe hii imekuja baada ya kuwa kapanic sana, ananiambia hajalala usiku anawaza tu. Na kwa hali aliyokuwa nayo counseling kwenye simu isingeleta matokeo chanya.
Sasa apa nawaza nimwambie tu ukweli au niache.
Samahani, positive comments zitafaa zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna rafiki yangu tangu wa toka utotoni lakin tulikuja kutengengana katika harakati za kutafuta maisha na hatujawasiliana kama mwaka hivi umepita.
Sasa jana kanicheki WhatsApp akanitumia picha ya kidonge akaniambia amevikuta kwenye mkoba wa demu wake, kutokana wasiwasi wa hivyo vidonge akaamua ku-google ARV akaona vinafanana, akaamua kunicheki maana mimi ni mtaalamu wa hayo mambo.
Mimi kukicheki ni ARVs (TLD) yenyewe. Akanipigia simu nikaongea naye ikabidi nimdanganye kwamba sio zenyewe hii imekuja baada ya kuwa kapanic sana, ananiambia hajalala usiku anawaza tu. Na kwa hali aliyokuwa nayo counseling kwenye simu isingeleta matokeo chanya.
Sasa apa nawaza nimwambie tu ukweli au niache.
Samahani, positive comments zitafaa zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app