Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,539
kanyaga Hertz proxy ipo mzuka kinoma
Haswa mkuu hiyo ni nouma kabisa
kanyaga Hertz proxy ipo mzuka kinoma
tumia superscan 4 kuconvert...tho inaaddition features mingi,,,,,,wakuu tusaidiane unaconvet aje.... then plz prx znazowrk wth mediafire.... hata kama hazresume na zzina limitation.....
Haswa mkuu hiyo ni nouma kabisa
ndugu naomba unisaidie hiyo proxy ya hertz katika namba.
nimatumaini yangu utanisaidia.
kila la heri ndugu.
Sijakusoma hapo ktk red!!
Na wale ambao tunatumia simu inakuwaje aisee
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Si tunajaza namba ktk setting? Sasa hizo namba nazihitaji.
Trick zote zimebutuliwa so hakuna tena mteremko kaka!!!
Hartz proxy nilitoa kitambo na ndiyo tegemeo kwa wengi ndo maana wamekausha so ridhika na hizo alizotoa mdau hapo juu
Unatakiwa ueke ip adress na port na sio jina hizo nlozitaja juu watakiwa uziconvert kwanza.
bonyeza tool then option itafunguka tab
Katika tab ilofunguka bonyeza advanced kisha network utaona sehemu ya proxy click hapo
click manual proxy sehemu ya ip eka
173.242.124.71 na port 80
Bonyeza ok then ok ur done.
Ip nyengine unayoweza tumia ni 69.64.49.253 na port 80 zote zinasuport youtube
Same problem kaka na meKuna habari mbaya!!!
Jana nilikuwa nakamua madude ghafla net ikakata nikamaliza proxy zote bila kupata utamu ajabu nilipoweka line nyingine ya mtandao ule ule, mambo safi but baada ya muda nayo ikakata utamu.
Nina wasi wasi Jamaa wameanza kublock line zinazotumia madude but sina hakika.
Je kina SAMRICH1 mmekumbana na tatizo hili au niko peke yangu.
Same problem kaka na me
dah! ka sikosei ni baada ya mb 500..... Hiyo ni case ya dashboard tu kaka.. Kama unatumia modem ya zte jaribu kuconnect kwa kutumia join air afu kama huawei tumia portable version yoyote ya mobile partner