Ahhhh sio zambi bana hv kwa nn watu wanakimbia makabila yao (kula ugali asubuhi sio kosa ni mila...lol na acheni kuegemea AR bana ww figa hiyo ni ya kingosha ngosha tuu). Anyway, angalau hapo chini hukunitukana maana umejua ww ni mtu wangu ...
Ila km huyo jamaa ndiyo analeta haya matatizo basi bora kujiweka sawa then kata funua maana life iz too short na ww bado mdogo sana kupata problems hizi..
Watch r food mama.... n be active, burn more calories...!!
Ila km huyo jamaa ndiyo analeta haya matatizo basi bora kujiweka sawa then kata funua maana life iz too short na ww bado mdogo sana kupata problems hizi..
Watch r food mama.... n be active, burn more calories...!!
mm sio msukuma na soma fresh iyo post we ****** nn???????