Nisaidieni nakaribia kuumbuka

Sasa nifanyeje na tayari nimesha haribu kwahiyo sistahili kuishi au kusamehewa na kupewa nafasi ya kurekebisha makosa yangu?
 
Sasa nifanyeje na tayari nimesha haribu kwahiyo sistahili kuishi au kusamehewa na kupewa nafasi ya kurekebisha makosa yangu?
Kajirekebishe kwa MUNGU siyo kwetu. Watu watakusaidia nini sasa kwa dhambi zako,wanaume tukifanyaga makosa juu ya mambo haya tunayamalizaga kiume sisi wenyewe,kweni hukuumbiwa hekima na akili? Hili husaidiwi na watu,ni wewe mwenyewe.
 
Hakikisha wanajuana au wagonganishe pamoja atakae kusamee huyo ndio mke anaweza kuvumilia makosa yako na kukuheshimu
 
Weka picha zao basi.

 
Hakikisha wanajuana au wagonganishe pamoja atakae kusamee huyo ndio mke anaweza kuvumilia makosa yako na kukuheshimu
Ushauri mubovu huu asijaribu awaache kimya, wewe ungefanyiwa hvo ungefurahi. Hapo hawapendi wote, aachanr nao in peace Kuna Leo na kesho, angekuwa muoaji asingejifikiria hvo. Hafu mtu kukaa kimya haimaanishi kakusamehe wanawake hulipiza ndoani wakati umezama
 
Unapotoa ushaur kuna namna mbili kuukataa au kuukubali huu ushaur ni mbovu kwako kwangu ndio nimeona uko vr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…