Nisaidieni nakaribia kuumbuka

🀣🀣🀣 nitakua nimebeba nguo ya emergency hyo siku, mambo yakibuma tunaingia chemba unachange basi tunatoka zetu tunaenda mahala kula nyama kama sio sisi vile. Kwani sh ngapiπŸ˜‚πŸ˜‚
Hahahahaaahaa..
Hii ni 'breeeeee' kabisaaa.!!

Natakiwa nikuweke kwenye kamati yangu inayohusika na disasters unafaa kabisa kuwa solution provider, game changer and the fixer..!
 
Duuuh, rungu zito sana hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
lakini isipofika altareni si unajua nina first aid kit na leso za kutosha. Ila a shoulder to lean on ndo sina yaani itabidi nkutumie package ufanye self service πŸ˜€
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Katika watu ambao ninaomba aibu yangu isiwakute mbele yao ni wewe, kuna watu ni teasers wa kujificha ila wewe unaweza nichamba hata ukumbini kabisa.!!
 
Hahaaa ulifanya vibaya wallah had picture zao hafu nyie wote umri wa maveterani.
Kosa lilikuwa langu mkuu, na mbaya niliwagonganisha zaidi ya watatu na kisha wakaanza kugombana wao.
Lakini mwisho wa siku nilijutia na kuwaomba radhi kwa kitendo kile aiseee.....
Kweli nilitenda kosa, lakini usisahau kwamba nami ni binadamu mkuu.
 
Kosa lilikuwa langu mkuu, na mbaya niliwagonganisha zaidi ya watatu na kisha wakaanza kugombana wao.
Lakini mwisho wa siku nilijutia na kuwaomba radhi kwa kitendo kile aiseee.....
Kweli nilitenda kosa, lakini usisahau kwamba nami ni binadamu mkuu.
Nyie viumbe huwa mnajichumia dhambi Bora had picha za uchi wa mama wa watu wazima vile na watoto, nawao walikosea kugombana wao kwa wao wallah. Wangetakiwa tu waachie ngazi kimya kimya hvo vitu hutokea Ila kudhalilishana vibaya mno, ningekuwa Mimi hata nisingetaka msamaha naku delete duniani na kuzima.
Niliwahurumia Sana wale wadada aisee.
 
Kosa lilikuwa langu mkuu, na mbaya niliwagonganisha zaidi ya watatu na kisha wakaanza kugombana wao.
Lakini mwisho wa siku nilijutia na kuwaomba radhi kwa kitendo kile aiseee.....
Kweli nilitenda kosa, lakini usisahau kwamba nami ni binadamu mkuu.
Hapa ni unakiri na kujutia ama unaongezea taarifa nyama mkuu.!?
 
Mkuu, kosa langu lilikuwa kuwagonganisha na ndio ninajutia.
Lakini hayo mengine yalitokana na kosa langu ambalo lilipelekea mdada mwingine akaongezea kosa.
Na kwahili siwezi kujutia na siwezi kuomba radhi, hata hizo picha unazo zisema nami nilizisikia tu kama unavyo nipa taarifa wewe
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Katika watu ambao ninaomba aibu yangu isiwakute mbele yao ni wewe, kuna watu ni teasers wa kujificha ila wewe unaweza nichamba hata ukumbini kabisa.!!
hahaaaa wewe sio wa kunitamkia maneno hayo ila Hakika aibu haitokukuta maana umeamua kukamata fursa ya mjentlomani Pep ila tu namshtua mapema kwenye zile tabia zako za kuwaweka watu friend zone πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…