Nisaidieni nahisi nina ngoma

Nisaidieni nahisi nina ngoma

Kamurakenge

Member
Joined
May 19, 2014
Posts
18
Reaction score
1
Ndugu nisaidieni ushauri bla kunihukumu.Nikuwa sijawah kukanyaga hosptal tangu 2012 mwez wat3 lakini December mwaka jana kuna dem nlichepuka nae,bt nlvaa gwanda unfortunately gwanda lika burst bila kujua.

Ikabdi nianze kupga maombi about hiv.
Baada ya siku tatu nikambamba huyo dem amechepka na mtu mwngne.hapo ndpo niliuhisi ukimwi kwenye damu.

Nikapata msongo wa mawazo kla dakika. nkajtoa akili nkaenda kumulza kwa ukali na haya ndio majibu alinipa:-
"kwani ulienda peku"?
"Me nna ukmwi"

Hapo ndipo niliyashudia machozi yakntoka.na yeye alipoona akanambia anandanganya.
Nkaenda kuulizia story zake mtaani.Mungu wangu cv yake inatsha.
Hapo ndpo nlpoanza kuugua magonjwa ya ajab ajab baada ya wk mbl since 2medu.

Kama yafuatayo:-
Mwili kuchoka bila kazi.moyo kwenda kasi na maumivu ya kifua.
3rd wk-2jividonda mdomoni.
4th wk maumivu makali ya kichwa, mawenge,kukosa ham ya kula kiac kwamba nlikuwa nakula mara 1 kwa siku but kwa kulazmishwa
.
5th wk homa,jasho za usiku na mchana kwa wng , maumiv makal ya kfua.na savere constpation.
6th wiki maumivu makali ya koo,viungo,misuli na miguu kuwaka moto hasa usiku.

7th wk muungurumo wa tumbo usioacha pamoja na hisia kali za kujiua.namshukuru Mung ckujiua.
Basi nilikuwa na uhakika kuwa ni ngoma bt sikukata tamaa kuomba coz me ni mkrsto mzur.but nilihisi Mungu hanisikii coz nilitenda dhamb infact ilikuwa ka mara ya 2 hivi kudu tangu nizalwe.

Nikapima majibu yakaja neg but nilijua coz ilikuwa b4 3month.
Nikaenda hosptal kupima magonjwa mengne ka maralia by maralia rapid detect test(mrdt) neg bt baada ya zle wiki mbili nilipima nikawa na typhod so nilikuwa nmemalza doz ya cpro.

Nkapma tena neg.
Basi nikasubiri miez3 nkachue postive yangu coz dalili kadhaa zliendelea kama tumbo kuunguruma na nyingne bt hazikuwa kali.
Baada ya miez 2 nikamdaka yle dem nkampleka akapimwe majb neg.

Nikapata furaha ya wiki 1 tu nikarudi nyma nikasema nayeye hajafikisha miez3
Trh 28mwez wa3 miez mi3 ikafka nkaenda angaza nikapima majibu neg yule mpimaji akanambia kama kweli nimekaa miez 3 basi nisahau ngoma.kwamba haya madalili ni coz of stress.

Nikapita hosptal nikapima nikakutwa na malaria 4 na typhod nikachu dawa nikaenda ku2mia.
Bado nliendelea ktokujiamini huku nkijiteng na marafiki zang.
Nlkuwa mchesh lakini nikabadilka na kuwa kama ---- kuku aliyenyonyolewa akaachwa akimbie.

4th month nkaenda kpma tena.majb hiv neg bado nna typhod alaf amoeba maralia neg mrdt.nikatumia dawa rapiclav nyng had mkojo ukanuka dawa 2pu.

5th month tumbo bado lnaungurum ulmi umekuwa mweupe homa jion na headache na kkohoz nmeenda kupma nina UTI na malaria HIV neg nkaambwa npungze mawazo nmepewa doz zfuatazo:-
alu 4 maralia
Albendzole
cpro na nyngne cjaikariri.

Mpaka naandika hapo tumbo bado lina unguruma non-stop.ulmi bado n mweupe kujihisi kama wadudu wanatembea mwlini.nyama za mwili kutikisika znyewe na mkoja wa njano.

Nsaidien wadau .
1-je kuna uwezekano bado nna kruc coz bado cjian dispite nmepma mara 7 neg ndan ya miez 5.

2-Npme ugonjwa gan mwngne ka cio ngoma coz nmechoka kunywa madawa.Kuna dall nyngne mmeacha 2 kuzitaja koz zitakuwa nyingi.

TAFADHARI NISHAURINI MDOGO WENU.
 
mkuu tuliza akili inawezekana stress zikawa you need to relax cha msingi ushachek afya
 
Mkuu hakuna ugonjwa mbaya kama stress unakufa premature, what u need ni kurelax na kufanya mazoezi ya viungo, pia usipende kukaa mwenyewe mara nyingi jichanganye na watu soon utakuwa normal.


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Kwanza umedanganya, umesema mpira ulipasuka si kweli wewe utakuwa ulipiga peku.

Pili unaonyesha ni mhuni kama wahuni wengine tu na si mlokole kama ulivojinadi kuwa unafanya maombi.

Tatu unaonyesha kama bado upo kwenye foolish age, zingatia masomo kwanza mengine utakutana nayo baadaye.
 
Nahisi utakuwa una fungus jaribu kuangalia nyumba unayokaa inavuja paa? Kama unaona dali limeweka maduara ya kijani au meusi hiyo ni mold, Kama sio mold basi itakuwa candida maana umetumia antibiotic Kali sana na umeua good bacteria tumboni na candida wamechukua nafasi.
 
It is in your head,yaani ugonjwa umo kichwani zaidi,upate ukimwi mwaka 2012 huwezi kuwa na dalili hizo ndani ya mda mfupi kama huo.
Either unao tangu zamani,ama hofu zinachangia
 
Pole amini huumwi.halafu typhoid na malaria ni mbaya sana ndo zinakupa dalili zote hizo ukimaliza dozi utakaa sawa
 
Mhhhhh......... Ulivyo andika hicho kiswahilichenu!!
Ok, tukirudi kwenye point nikwamba inaonekana wazi kuwa na msongo wa mawazo. Hivyo tuliza akili na jaribu kula vizuri, pia zingatia m kufanya mazoezi.
 
Woga tuuu ndo unakumaliza....STOP WORRYING AND START LIVING.....kufa unaweza kufa hata na ajali anytime,ngoma isikupotezee dira afterall huna wenye nayo wamenawiri vizuri tu sembuse wewe...
 
Yani dalili ulizo zitaja zote pengine zikawa chanzo chake ni Malaria.

Siku hizi simpaka usubiri miezi mitatu ndio ujue una virus vya Ukimwi au lah, Kuna vipimo siku hizi vinaonesha siku hiyo hiyo.

Ugonjwa unao kusumbua wewe ni msongo wa mawazo si lingine.

Pia uandishi wako si mzuri rekebisha.






au lah
 
Mie nimechoka kusoma. Maana maneno ulivyoyaandika inakera kusoma

Xaxa
Kpma
Majb
Ulmi
Zfuatazo
Alaf
Mrdt
 
utakuwa na shida ya msongo wa mawazo.
achana na tabia hizo, huna mamlaka ya kumlazimisha mtu kupima hiv hata kama ni mkeo achilia mbali mpenzi wako
uandishi sijaupenda kwani umenipoteza!
 
Kapime uanze kuishi maana pressure itakumaliza haraka kuliko ugonjwa mwingine
 
Akili yako imepata stress hadi haifanyi kazi vizuri
 
Kwanini tunapenda sana kusema mpira ulipasuka?

Bora kuwa muwazi na kusema niliuza timu

Kuuza timu ni kufilisika,tunasema AMEUZA MECHI ila timu iko pale pale. Honestly huu mchezo wa kuuza mechi ni hatari.
 
Ahsanten sana na sory kwa uandishi.
Ni kwel ndom ili burst na nmeshapima had miez mi5.na dr kasema ni conclusive.

Knachonisumbua ni hili lisilotaka kunyamaza na ulimi mweupe.
Na sio kwamba nilikua nao since then coz i never had any risk apart from hyo ndom burst.
And i rarely get sick.
 
Back
Top Bottom