Nisaidieni mawazo

Nisaidieni mawazo

cold water

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
323
Reaction score
1,128
nilikuwa na mwanaume X tulibahatika kupata mtoto mmoja akaniacha akaoa mwanamke mwingine amekaa nae miaka minne hakumpelekea barua Wala mahali katika kuishi nae wakapata Tena mtoto,nilivyoona anaishi na mwanamke mwingine mimi nikaendelea na maisha yangu na nimepata ajira tofauti na eneo analoishi baba mtoto Sasa anaimba turudiane na nikirudiananae lazima niache kazi ungekua wewe ungefanyaje mtu alikudharau huko nyuma alikuona takataka akaoa mwanamke mwingine yamemshinda anarudi tena
 
Usiache kazi.

Jamaa aonyeshe jinsi gan yuko serious na hilo suala la kurudiana na ww

kwanza kwa kulea mtoto wake vizur.
-akuhudumie.
-kama umeridhia basi uwe unaenda for weekend kuonana nae.
-mwambie afuate taratibu za kupeleka Barua kwenu, mahar na atangaze ndoa
-mfunge Ndoa.

(Maana umesema hajapeleka barua kwako wala kwa huyo mama mtoto wa pili wa mika 4).

- Akupe mtaji wa biashara baada ya kufunga Ndoa .

Akifanya haya yote ndio unaweza kuacha kazi.

Sasa ww nenda kizembe ukajiachia ukawekwa mimba ingine na ukaachwa.

NB:
Ila mwanamke ukimzalisha hana ujanja, ndio maana wanaume weng hawatak Single mother , hamkawii kuuza game kwa baba mtoto .
 
Usiache kazi.

Jamaa aonyeshe jinsi gan yuko serious na hilo suala la kurudiana na ww

kwanza kwa kulea mtoto wake vizur.
-akuhudumie.
-kama umeridhia basi uwe unaenda for weekend kuonana nae.
-mwambie afuate taratibu za kupeleka Barua kwenu, mahar na atangaze ndoa
-mfunge Ndoa.

- Akupe mtaji wa biashara baada ya kufunga Ndoa .

Akifanya haya yote ndio unaweza kuacha kazi.

NB:
Ila mwanamke ukimzalisha hana ujanja, ndio maana wanaume weng hawatak Single mother , hamkawii kuuza game kwa baba mtoto .
I second you.
Dada asijeingia mtegoni.
Kama yuko serious huyo mwamba, jamaaa apeleke mahari na aoe. Otherwise atakujamia kwa mara ya pili atakubwaga tena.

Kama alikuacha mwanzo "SAHIZI UMEONGEZEKA NINI CHA TOFAUTI SANA? ACHILIA KAZI YAKO" wewe si yule yule akikuvua nguo?
fikiri sana dada kabla ya kufanya maamuzi.....

Watu wengine wana ushetani ndani yao..... wewe ukifanikiwa yake yanaharibika.
Aafu kumbuka uzinzi ni ibada
 
nilikuwa na mwanaume X tulibahatika kupata mtoto mmoja akaniacha akaoa mwanamke mwingine amekaa nae miaka minne hakumpelekea barua Wala mahali katika kuishi nae wakapata Tena mtoto,nilivyoona anaishi na mwanamke mwingine mimi nikaendelea na maisha yangu na nimepata ajira tofauti na eneo analoushi baba mtoto Sasa anaimba turudiane na nikirudiananae lazima niache kazi ungekua wewe ungefanyaje mtu alikudharau huko nyuma alikuona takataka akaoa mwanamke mwingine yamemshinda anarudi tena
acha ujinga
nilikuwa na mwanaume X tulibahatika kupata mtoto mmoja akaniacha akaoa mwanamke mwingine amekaa nae miaka minne hakumpelekea barua Wala mahali katika kuishi nae wakapata Tena mtoto,nilivyoona anaishi na mwanamke mwingine mimi nikaendelea na maisha yangu na nimepata ajira tofauti na eneo analoushi baba mtoto Sasa anaimba turudiane na nikirudiananae lazima niache kazi ungekua wewe ungefanyaje mtu alikudharau huko nyuma alikuona takataka akaoa mwanamke mwingine yamemshinda anarudi tena
Once a devil always a devil
 
nilikuwa na mwanaume X tulibahatika kupata mtoto mmoja akaniacha akaoa mwanamke mwingine amekaa nae miaka minne hakumpelekea barua Wala mahali katika kuishi nae wakapata Tena mtoto,nilivyoona anaishi na mwanamke mwingine mimi nikaendelea na maisha yangu na nimepata ajira tofauti na eneo analoushi baba mtoto Sasa anaimba turudiane na nikirudiananae lazima niache kazi ungekua wewe ungefanyaje mtu alikudharau huko nyuma alikuona takataka akaoa mwanamke mwingine yamemshinda anarudi tena
Alikudhuru,alikuona takataka na alikuacha wewe na mtoto wenu.Umemuuliza kama anakuona umebadilika au bado anakuona kenge wa ndani?Mambo mengine utumie tu akili yako.Ukishauriwa sana utapagawa
 
nilikuwa na mwanaume X tulibahatika kupata mtoto mmoja akaniacha akaoa mwanamke mwingine amekaa nae miaka minne hakumpelekea barua Wala mahali katika kuishi nae wakapata Tena mtoto,nilivyoona anaishi na mwanamke mwingine mimi nikaendelea na maisha yangu na nimepata ajira tofauti na eneo analoushi baba mtoto Sasa anaimba turudiane na nikirudiananae lazima niache kazi ungekua wewe ungefanyaje mtu alikudharau huko nyuma alikuona takataka akaoa mwanamke mwingine yamemshinda anarudi tena
Hapo unataka tukushauri nini?

sababu za wewe kuachwa na kuolewa mwingine ni zipi? wewe huna mwanaume mpaka maneno ya turudiane yanaupa kiwewe?
 
nilikuwa na mwanaume X tulibahatika kupata mtoto mmoja akaniacha akaoa mwanamke mwingine amekaa nae miaka minne hakumpelekea barua Wala mahali katika kuishi nae wakapata Tena mtoto,nilivyoona anaishi na mwanamke mwingine mimi nikaendelea na maisha yangu na nimepata ajira tofauti na eneo analoushi baba mtoto Sasa anaimba turudiane na nikirudiananae lazima niache kazi ungekua wewe ungefanyaje mtu alikudharau huko nyuma alikuona takataka akaoa mwanamke mwingine yamemshinda anarudi tena

Unatakiwa uchapwe viboko kuuliza hili swali, aisee nyie watu below 35 years wengi hamjui wanawake, 40 plus wanawajuwa, don't ever sucrifice harakati zako kwa ajili ya mwanamke, zaidi kama huyo wako, achana naye unaharibu maisha, anaenda kukuua kabisa kiuchumi halafu aje kukudharau, Yani huyo kemea kama pepo kwenye maombi yako!
 
nilikuwa na mwanaume X tulibahatika kupata mtoto mmoja akaniacha akaoa mwanamke mwingine amekaa nae miaka minne hakumpelekea barua Wala mahali katika kuishi nae wakapata Tena mtoto,nilivyoona anaishi na mwanamke mwingine mimi nikaendelea na maisha yangu na nimepata ajira tofauti na eneo analoushi baba mtoto Sasa anaimba turudiane na nikirudiananae lazima niache kazi ungekua wewe ungefanyaje mtu alikudharau huko nyuma alikuona takataka akaoa mwanamke mwingine yamemshinda anarudi tena
Maswali mengine muwe mnauliza hata huko kwenye jumuia au kwenye vikoba , jamii forum ni forum ya GREAT THINKING hapa watu huleta mada ngumu zenye kihitaji majibu mepesi🤣🤣 anyway kwasababu umetaka ushauri basi ngoja tukushauri,

1. Ulizaliiwa mzima lakini umekuwa mpumbavu kiasi kwamba mtoto anakufanya kutojiamini na kwamba unaamini huwezi kupata mwanaume mwingine wa kukupenda na mtoto wako , kitu ambacho siyo kweli.

2. Ulimsubiria saana/ulijisubirisha saana kutofanya maamuzi mengine kwasababu ya kuto kujiamini kwako. Kwani ni kweli ilikuwa hutongozwi😂

3.kwasababu bado unampenda saana nakushauri acha kazi uende ukaishi naye 🤣🤣 maana imeandikwa msisumbukie maisha yeenu mle nini mvae nini tazameni ndege wa angani hawavuni Wala hawapandi lakini bwana wa mbingini huwalisha👍

4. Na mwisho ambalo siyo muhimu zaidi ni kwamba kabla hamjaanza kuishi na kuingiliana kimwili kama ilivyo kuwa zamani basi ni vyema mkapima HOMA YA INI na magonjwa mengine ya zinaa kama HIV nk. 😂😂 . Na ikimbukwe kwenye mabano kwamba mtoto mpumbavu ni mzigo wa mama yake woote tuseme ameeeen...
 
nilikuwa na mwanaume X tulibahatika kupata mtoto mmoja akaniacha akaoa mwanamke mwingine amekaa nae miaka minne hakumpelekea barua Wala mahali katika kuishi nae wakapata Tena mtoto,nilivyoona anaishi na mwanamke mwingine mimi nikaendelea na maisha yangu na nimepata ajira tofauti na eneo analoushi baba mtoto Sasa anaimba turudiane na nikirudiananae lazima niache kazi ungekua wewe ungefanyaje mtu alikudharau huko nyuma alikuona takataka akaoa mwanamke mwingine yamemshinda anarudi tena
Sasa kwanza huyo kashazaa na Mwanamke mwingine Ina maana hapo inabidi ukubali muwe wake wawili, labda ingekua huyo Mzazi mwenzake bahati mbaya amefariki ninge kushauri umkubali.
 
Back
Top Bottom