promiseme
JF-Expert Member
- Mar 15, 2010
- 2,707
- 931
Duh! umemuachia akuzoweeeee hivyo? kwanza kazini kucheka cheka na utani waajabu kama huo haufai,mrudishie hayo mashaka yake mwambie ahsante sana kwa zawadi yako,na punguza ukaribu kuoshewa vikombe na visahani iwe mwisho,
kua na hadhi yakiume usiwe kama arage la Mbeya...
kua na hadhi yakiume usiwe kama arage la Mbeya...