FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
FirstLady1 Siyo kila Mwanaume anayetaka atakwambia anataka. Huwezi ukadai hutaki wakati huo huo mazingira na matendo unayoyafanya ya kuendelea kum-entertain yanaonyesha wazi kuwa uko interested.
Akili ni nywele . . .
Sawa ndugu yangu na wewe mbona huonekani ..hakuna shindano lingine?