sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Last edited by a moderator:
Khaaaaa!!
Rudisha avatar ya zamani......nimepata shida sana kukutambua lol !
Very thanks mwaya ! Nimefurahi lol !Ntakusikia!nimekusikia....sasa na wewe unisikie nikiomba kitu lol
Mimi ndio maana nilishasema wanangu wa kiume wataingia jikoni na kupika. Mitego kama hii isingekupata kama kuosha kikombe na kujiandalia chai isingekuwa ni issue kwako.
Na shukuru Mungu haukuwekewa limbwata kwenye hiyo chai.Lol. Hata akili ya kuandika huu uzi usingekuwa nayo. Mkiambiwa mjifunze kupika mnadai ni kazi za kike...mnapokuwa mbali na wakuwapikia ndo sasa mnaanza kuhangaika.
Kwanza hukusema kama umeoa au uko single. Otherwise uwe unakunywa chai home si lazima kunywa chai ofisini kama kuiandaa inakuwa ni shughuli nzito.
Aaaah bana mbona unaniwahi, acha hizo!!Mpe namba yangu nimnyoroshe.
nilikuwa nakutafuta mno leo mchana
uliniona?
Ulikuwa unanitafuta kwa kutumia means gani? Comment au PM? Kama comments zijasoma zote...leo niko busy kidogo.
nilibadili avatar nikapokea pm zaidi ya kumi
nirudishe
hadi nimerudisha
nilitaka unione kwa avatar yangu ambayo nilikuwa naitumia zamani....
Mimi ndio maana nilishasema wanangu wa kiume wataingia jikoni na kupika. Mitego kama hii isingekupata kama kuosha kikombe na kujiandalia chai isingekuwa ni issue kwako.
Na shukuru Mungu haukuwekewa limbwata kwenye hiyo chai.Lol. Hata akili ya kuandika huu uzi usingekuwa nayo. Mkiambiwa mjifunze kupika mnadai ni kazi za kike...mnapokuwa mbali na wakuwapikia ndo sasa mnaanza kuhangaika.
Kwanza hukusema kama umeoa au uko single. Otherwise uwe unakunywa chai home si lazima kunywa chai ofisini kama kuiandaa inakuwa ni shughuli nzito.
Sangarara Feedback?
hivi ni kweli huoni kuwa wewe umechangia kwa 99%kufikia hapo uhusiano ulipofikia?kama huoni funguka macho yako ya rohoni maana inaonekana unatumia macho ya kweny chupi.
Mie sioni kama amechangia bali ni mwanamke mwenyewe ...