Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,952
- Thread starter
- #21
ni kosa kubwa sana kununua kitu kwa kuangalia brand tu, unatakiwa ujijue mwenyewe matumizi yako ni yapi, ila kwa tv ya kisasa unatakiwa
1. iwe na service centre tv ikiharibika utengenezewe
2. iwe na kioo cha LED
3. port za usb, hdmi, vga (kama una laptop au desktop)
4. display iwe ni Ips au technology nyengine yenye view angle nzuri ili hata ikikaa sebuleni mnaona pande zote
5. warranty ya manufacture na sio mwenye duka, etc
chief nimerudi tena kwako...
kuna yenye vyote kwa pamoja (hdmi & vga)? au hua ni mojawapo ndo inakuepo
ips ni nini?