kuna ndugu yangu 1 amesoma certificate ya journalusim and mass communication sasa anataka kusoma diploma ya ki2 kingine tofaut na hiki.Je,anaweza soma nn? Na chuo kip ni kizur kwa hapa Dar?
Thaks!
anaweza enda soma pale Gema Security Company,maelezo mengine atapatiwa,Upanga karibu na mzizima aje!!!