mtumwa wa mungu
Member
- Dec 27, 2014
- 38
- 3
Yaan condom ilipasuka hukujua???!!!
Ni shilingi ngap
Tafta dawa ya morning aftr pill.kama masaa 72 hayajapita.ka yashapita ni kaz bure.
mpe soda ya Cocacola anywe
Habari wana Jf wenzangu. Mwenzenu nimefanya mapenzi na Dada mmoja ambae nimwanafunzi wa Form five tuli tumia Kondom lakini kweli ile Kondom haina mana ilitoboka bahati mbaya bilakujua na mimi nikajikuta nimesha mwaga ndani.
Sasa nisaidieni njia yoyote ili Mimba isiendelee kukuwa ni Siku ya pili leo toka tufanye mapenzi. Jamani naomba kama hutaki kuchangia usintukane .
asanteni.
bado wareno hawajafika mji wa mimba wapo katikati tu hapo.. mtafute uwatoe faster au mwambie alale kiubavu wasifike haraka wafie njiani