Mie naomba nizibe nafac ya mkikuyu!!!!!!!nina 100% ya upole
Na ukome kwelikweli...! Ila muonja asali utaacha kuchonga mzinga...?
Dada kwaiyo unataka hadi uchorewe ndo uone kama hilo ni shimo na unatumbukia?af umri wako mdogo sana aisee.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
ushauri gani tena unataka hapo?!!...acha kumharibia mwanamke mwenzako familia yake, huyo jamaa si yupo kwake, mwambie basi muishie hapo, heshima kwa mkewe! kama unapenda (maana naskia kuna mapenzi ya kweli mtu haskii la muadhini wala mnadi swalah) endelea kujisemia mamaake kwa raha zako usimwachie,kitu cha makamo hicho kinasimamia shoe mbaya siyo vijana wa sku hizi nyenyenye tu!
kubali tu ukweli kuwa yule ni mume wa mtu.na kizuri ulikua hujui sasa unajua yatakuwa ni makosa makubwa kuendelelea na huo uhusiano umri wako bado mdogo, tulia tu utampata ambaye ni chaguo sahihi.
25-30yrs not married?? Na huduma zote hizoo??? Inaonekana hata kufanyiwa pssss ni shidaaa. Ndiyo maana alipotekea huyo MKIKUYU ukamg'ang'ania kama kupe. Kama unabisha tupia pichaaaa
jamani wewe
halafu hizo sauti za kudeka huwa zinanilegeza maungo ya juu na kukakamaza maungo ya chini wallah, njoo nikusabahi inbox basi!
Hahahahahahaah tobah